• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Fukwe na Visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Utalii
      • Matukio ya Utalii
      • Royal Tour Bus
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu

KINONDONI KUFIKIA TAKRIBANI WANANCHI MILIONI 1.2, UGAWAJI WA DAWA KINGA NA TIBA YA MABUSHA NA MATENDE

Tarehe iliyowekwa: December 13th, 2018

Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mh.Daniel Chongolo, alipokuwa mwenyekiti katika kikao cha kamati ya Afya ya msingi kilichofanyika leo kwa lengo la kupitia na kujadili maswala ya msingi ya utekelezaji wa huduma za afya, ikiwemo utekelezaji wa kampeni ya ugawaji dawa kingatiba kwa magonjwa ya mabusha na matede.

Amesema  katika kampeni hii inayotarajia kuanza tarehe 15/12/2018 hadi tarehe 20/12/2018, Kinondoni kwa kushirikiana na Wizara ya Afya maendeleo ya jamii, jinsia wazee na watoto,  kupitia kitengo cha magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele, imelenga kufikia wananchi takribani milioni 1.2, katika kata zake 20, na mitaa 106.

"Kwanza niseme tunaishukuru Serikali kupitia kitengo husika cha kampeni hii, kwani ,Taifa lenye tija, ni taifa la watu wenye afya bora, hivyo hatuna budi sisi kama kamati kuhakikisha wananchi wanahamasika na wanajitokeza kwa wingi kupata kingatiba hii, na hii itatokana na elimu madhubuti itakayotolewa nanyi, kwa njia zilizosahihi na kuwafikia wananchi kwa usahihi na wakati"Amesisitiza Chongolo

Akieleza hatua zilizochukuliwa hadi sasa kuhusiana na kampeni hiyo, Mratibu wa magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele katika Manispaa hiyo,  Dr.Neema Mlole amesema wagawa dawa takribani 392, wanaotakiwa kugawa dawa za kinga wameshapatiwa mafunzo, zoezi la ugawaji dawa za kingatiba za kuzuia magonjwa ya kichocho na minyoo kwa ngazi ya Wilaya zimeshafanyika, usambazaji wa dawa na vifaa maalumu umeshafanyika, pamoja na kufanyika kwa maandalizi mazuri ya usimamizi wa zoezi zima.

Katika hatua nyingine mratibu wa zoezi la lishe Manispaa ya Kinondoni Bi Emiliana Sumaye, alipotakiwa kuzungumzia  zoezi hilo  amesema lengo ni kutoa huduma jumuishi za kinga bila malipo kwa ajili ya kuimarisha afya ya mtoto na kuyataja  mafanikio yake kuwa ni kupata ushirikiano mkubwa kwa timu ya wataalamu juu ya utekelezaji wake na pia kufikia asilimia 102% ya utoaji wa matone ya vitamin A katika vituo vya afya na zahanati.

Aidha Bi Sumaye pia ameainisha changamoto zilizojitokeza katika uendeshaji wa zoezi hilo kuwa  ni ufinyu wa bajeti, ukosefu wa vifaa tiba, pamoja na upungufu wa watoa huduma  juu ya matibabu ya utapiamlo mkali.

Kamati hiyo iliyohudhuriwa na mwakilishi kutoka Wizara ya Afya, Kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya na wakuu wa idara na vitengo, pia imejadili  taarifa za utekelezaji wa zoezi la utoaji wa kingatiba za magonjwa ya matende na mabusha na  taarifa ya utekelezaji wa zoezi la mwezi lishe la utoaji wa Vitamin A.

Imeandaliwa na

Kitengo cha Uhusiano na habari.

Manispaa ya kinondoni.

Matangazo

  • UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU April 01, 2025
  • TANGAZO March 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 05, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KADA YA AFISA TEHAMA MSAIDIZI ULIOFANYIKA TAREHE 25/03/2024 March 25, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • ZAIDI YA MITI 1200 YAPANDWA KUADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU

    December 09, 2024
  • MAAMBUKIZI UKIMWI YAPUNGUA

    December 01, 2024
  • MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YASHUKA KINONDONI

    November 29, 2024
  • WENYEVITI NA WAJUMBE WAPYA WAPEWA MAELEKEZO YA MAJUKUMU YAO

    November 28, 2024
  • Tazama zote

Picha Jongefu

IFAHAMU KATA YA MZIMUNI, MANISPAA YA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • MAKTABA YA PICHA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • HOTUBA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255222170173

    Simu ya mkononi: +255733241052

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.