• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Fukwe na Visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Utalii
      • Matukio ya Utalii
      • Royal Tour Bus
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu

KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA KINONDONI(CMAC),YASHIRIKI MAFUNZO YA SIKU TATU KATIKA UKUMBI WA KARIMJEE

Tarehe iliyowekwa: February 7th, 2019

NI KWA LENGO LA  KUWAONGEZEA UELEWA  WASHIRIKI  KUHUSIANA NA MKAKATI WA NNE WA KITAIFA WA  KUPAMBANA NA VVU NA UKIMWI (NMSF IV 2018-2022/2023)

Mafunzo hayo yaliyofanyika  kwa siku tatu katika ukumbi wa Karimjee Jijini Dar es salaam, yamelenga kuwajengea uwezo wajumbe wa Kamati ya kudhibiti VVU na UKIMWI ya Manispaa hiyo (CMAC), ikiwa ni pamoja na  kukumbushana wajibu na  majukumu yao katika harakati za mapambano dhidi ya UKIMWI.

Akiongea wakati wa ufunguzi, Mratibu wa kudhibiti UKIMWI upande wa kinga wa Manispaa hiyo(CHAC),  Bi Rhobi Gwesso amesema Manispaa imeona ni budi kuwajengea uwezo wajumbe wa Kamati ya kudhibiti UKIMWI ya Manispaa (CMAC)  ili waweze kuwa na elimu sahihi watakayoweza kuisamabaza kwa wananchi katika kata zao, na Katika makundi ambayo wanayawakilisha ili waweze kujiepusha na maambukizi na kukabiliana nayo.

Akitoa ufafanuzi juu ya mkakati wa nne wa kitaifa wa kudhibiti VVU na UKIMWI  Mwezeshaji kutoka Tume ya kudhibiti UKIMWI nchini Tanzania (TACAIDS) Bw Delfinus Kivenule amesema, mkakati huo umeandaliwa ili kutoa miongozo kwa sekta mbalimbali katika kupanga na kutekeleza afua za VVU na UKIMWI pamoja na kutafsiri sera ya Taifa kuhusu VVU na UKIMWI kwa vitendo na kuwaongoza wadau katika mwitikio wa Taifa wa kudhibiti VVU na UKIMWI.

Mada mbalimbali ambazo zimewasilishwa Katika mafunzo hayo ni pamoja na Mkakati wa nne wa taifa wa kudhibiti UKIMWI, Muundo wa Kamati ya kudhibiti UKIMWI ngazi ya Mtaa,  Kata na Wilaya, Wajibu na majukumu ya Kamati shirikishi za kudhibiti UKIMWI ngazi yamtaa,  Kata na Wilaya (MACS, WMACS NA CMAC) ,

Nyingine ni  Uongozi na ubia Katika mwitikio wa VVU, Ukweli kuhusu UKIMWI, kifua kikuu na homa ya ini, mawasiliano kuhusu UKIMWI na tafsiri ya Sheria ya kudhibiti VVU na UKIMWI nchini Tanzania ya mwaka 2008.


Mafunzo hayo yaliyoanza tar 4 -6 mwezi wa pili 2019, yamehusisha Kamati shirikishi za kudhibiti UKIMWI ikiwa ni pamoja na waheshimiwa Wabunge, Mstahiki Meya wa Manispaa, Waheshimiwa Madiwani, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa, Wajumbe wakaribishwa toka kwenye uwakilishi wa jamii pamoja na wataalam wa Idara mbalimbali za Manispaa.

Imeandaliwa na

kitengo Cha Habari na uhusiano

Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU April 01, 2025
  • TANGAZO March 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 05, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KADA YA AFISA TEHAMA MSAIDIZI ULIOFANYIKA TAREHE 25/03/2024 March 25, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • ZAIDI YA MITI 1200 YAPANDWA KUADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU

    December 09, 2024
  • MAAMBUKIZI UKIMWI YAPUNGUA

    December 01, 2024
  • MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YASHUKA KINONDONI

    November 29, 2024
  • WENYEVITI NA WAJUMBE WAPYA WAPEWA MAELEKEZO YA MAJUKUMU YAO

    November 28, 2024
  • Tazama zote

Picha Jongefu

IFAHAMU KATA YA MZIMUNI, MANISPAA YA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • MAKTABA YA PICHA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • HOTUBA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255222170173

    Simu ya mkononi: +255733241052

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.