• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Fukwe na Visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Utalii
      • Matukio ya Utalii
      • Royal Tour Bus
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu

DC KINONDONI ATOA SIKU SABA KWA WAKANDARASI WA TAKA KUBORESHA HUDUMA HIYO

Tarehe iliyowekwa: November 7th, 2018

NI KUFUATIA KUKITHIRI KWA MALALAMIKO YA WANANCHI KUHUSIANA NA TAKA ZILIZORUNDIKANA MITAANI.

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mh.Daniel Chongolo ametoa siku saba kwa wakandarasi wa huduma ya kuzoa taka pamoja na Manispaa kuhakikisha wanaboresha utoaji wa huduma hiyo kwenye mitaa husika ili kuondokana na kero inayowasumbua wananchi ya mrundikano wa matakataka.

Ametoa agizo hilo leo alipokuwa  katika mkutano wa hadhara na wananchi wa Kijitonyama uliofanyika katika viwanja vya shule ya msingi  Kijitonyama kisiwani  kwa lengo la kusikiliza kero zao na kuzipatia majibu.

Amesema iwapo wananchi wanachangia fedha zao kwa ajili ya huduma hiyo, nilazima waipate, kwani kukithiri kwa  matakataka mitaani kwaweza kuleta magonjwa ya mlipuko yanayotokana na uchafu.

"Natoa agizo, kufika siku ya Jumanne kuanzia leo, kuwe na mwelekeo madhubuti wa kutoa taka kwenye Kata na Mitaa yetu" Ameagiza Chongolo.

Akitoa ufafanuzi wa swala hilo, Ndg Peter Abilu ambaye pia ni Afisa Usafishaji wa Manispaa hiyo amesema, kwa sasa Manispaa ya Kinondoni kwa kushirikiana na Maafisa watendaji wa Kata na Mitaa, pamoja na Wakandarasi wa kuzoa taka tumeandaa mpango mkakati utakaoondoa kero hiyo na mazingira kubaki masafi.

Awali akitoa taarifa ya Kata ya Kijitonyama kwa Mkuu huyo wa Wilaya,  Mtendaji wa Kata hiyo Bi.Elizabeth Minga amesema Kata yake inajumla ya Mitaa Nane, shule za Msingi 7, Sekondari 4, vituo vya polisi 3, Zahanati 2, Masoko 3, Hotel 18, Nyumba za kulala wageni 31, na Bar 50.

Aidha ameainisha  changamoto kubwa zinazowakabili katika Kata hiyo kuwa ni wananchi kujimilikisha maeneo ya wazi, ujenzi juu ya mifereji na pembezoni mwa kingo, na uthibiti wa taka ngumu.

Akipokea maagizo na maelekezo ya Mkuu wa Wilaya, kwa niaba ya Mkurugenzi wa Manispaa,  Ndg Maduhu Kazi  ambaye pia ni Afisa Mipangomiji ameahidi kuyafanyia kazi maagizo na maelekezo  yote yaliyotolewa, ikiwa ni pamoja na kutatua kero zinazowakabili wananchi.

Hii ni ziara yake ya pili ambapo ametembelea na kukagua miradi inayotekelezwa katika kata ya Kijitonyama, na kufanya mkutano wa hadhara uliohudhuriwa na wananchi, wakuu wa idara na vitengo pamoja na  viongozi mbalimbali wa Kata na Taasisi za Serikali ambapo ziara yake ya kwanza ilifanyika katika kata ya Bunju.

Imeandaliwa na

Kitengo cha habari na Uhusiano.

Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU April 01, 2025
  • TANGAZO March 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 05, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KADA YA AFISA TEHAMA MSAIDIZI ULIOFANYIKA TAREHE 25/03/2024 March 25, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • ZAIDI YA MITI 1200 YAPANDWA KUADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU

    December 09, 2024
  • MAAMBUKIZI UKIMWI YAPUNGUA

    December 01, 2024
  • MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YASHUKA KINONDONI

    November 29, 2024
  • WENYEVITI NA WAJUMBE WAPYA WAPEWA MAELEKEZO YA MAJUKUMU YAO

    November 28, 2024
  • Tazama zote

Picha Jongefu

IFAHAMU KATA YA MZIMUNI, MANISPAA YA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • MAKTABA YA PICHA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • HOTUBA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255222170173

    Simu ya mkononi: +255733241052

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.