• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Fukwe na Visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Utalii
      • Matukio ya Utalii
      • Royal Tour Bus
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu

DC GONDWE AWAPONGEZA TARURA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA BARABARA

Tarehe iliyowekwa: September 1st, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Godwin Gondwe amepongeza Wakandarasi wa kampuni ya Estim pamoja na Wakala wa barabara vijijini na mjini (TARURA) kwa kazi kubwa waliyoifanya ya utekelezaji wa mradi wa matengenezo ya barabara ya Toure drive kwa kiwango cha lami iliyopo Masaki yenye urefu wa kilometa 3.5.

Akizungumza mara baada ya ukaguzi huo, DC Gondwe alisema ni jambo kubwa kuona mradi huu wa ujenzi wa barabara unaendelea vizuri kutokana na uchapakaji kazi wa wafanya kazi kwa weledi na umakini.

''Niwapongeze wakandarasi wa Estim kwa kushirikiana na TARURA, kwa kufikia hatua ya utekelezaji wa mradi huu asilimia 66 ni jambo kubwa na zuri, siku zote kazi tunapaswa kufanya kazi kwa vitendo na wala sio kwa maneno.

''Nimefurahi kuona katika mradi huu kuna njia ya watembea kwa miguu ambayo itawasaidia wananchi kuweza kutembea katika njia ambazo ni salama kwao," Alisema DC Gondwe.

Aidha, alitoa wito kwa wananchi kuhusiana na njia za watembea kwa miguu kusiwekwe biashara ya aina yoyote ile kwani maeneo hayo ni kwa ajili ya watembea kwa miguu na wala sio kwa wafanyabiashara.

Katibu Tawala wa Wilaya hiyo Bi. Stella Msofe kwa upande wake aliwataka wakandarasi kuendelea kufanya kazi vizuri kwa kuzingatia misingi inayotakiwa kufuatwa. "Niwapongeze Estim pamoja na TARURA kwa juhudi kubwa waliyoifanya, nina imani mradi huu utakamilika kwa wakati sahihi uliopangwa," alisema DAS Stella.

Meneja wa TARURA Mkoa wa Dar es Salaam, Geofrey Peter, alisema mradi huo wenye urefu wa kilometa 3.5 ambao unahusisha ujenzi wa barabara ya kiwango cha lami ikiwa na mifereji ya pembeni pamoja na barabara ya watembea kwa miguu una gharimu shilingi za Kitanzania bilioni 5.6 ambapo hadi sasa umefikia asilimia 66 ya ujenzi.

''Barabara itawasaidia wananchi kutalii kwa sababu ipo pembeni mwa bahari, lakini pia barabara za watembea kwa miguu itawasaidia wale ambao wanapenda kufanya mazoezi ili kuimarisha afya zao," Alisema Peter.


Imeandaliwa na

Kitengo cha Mawasiliano Serikalini

Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU April 01, 2025
  • TANGAZO March 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 05, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KADA YA AFISA TEHAMA MSAIDIZI ULIOFANYIKA TAREHE 25/03/2024 March 25, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • ZAIDI YA MITI 1200 YAPANDWA KUADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU

    December 09, 2024
  • MAAMBUKIZI UKIMWI YAPUNGUA

    December 01, 2024
  • MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YASHUKA KINONDONI

    November 29, 2024
  • WENYEVITI NA WAJUMBE WAPYA WAPEWA MAELEKEZO YA MAJUKUMU YAO

    November 28, 2024
  • Tazama zote

Picha Jongefu

IFAHAMU KATA YA MZIMUNI, MANISPAA YA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • MAKTABA YA PICHA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • HOTUBA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255222170173

    Simu ya mkononi: +255733241052

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.