• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Fukwe na Visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Utalii
      • Matukio ya Utalii
      • Royal Tour Bus
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu

BARAZA LA MADIWANI KINONDONI LAMPONGEZA MKURUGENZI KAGURUMJULI KWA USIMAMIZI MIRADI YA MAENDELEO

Tarehe iliyowekwa: May 14th, 2020


Pongezi hizo zimetolewa na Mst. Meya wa Manispaa hiyo Mh. Benjamini Sitta wakati wa kikao cha Baraza la madiwani robo ya tatu ya mwaka kilichofanyika leo katika ukumbi wa mikutano wa Manispaa.

Meya Sitta amesema kuwa katika kipindi cha uongozi wake, yeye pamoja na Baraza lake wameshuhudia uzalendo na umahiri wa watendaji pamoja na viongozi wa Halmashauri  katika kusimamia rasilimali za Serikali kwa kiwango cha ubora unaoridhisha hasa katika suala la utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya Halmashauri hiyo.

“Niseme tu kwamba Kinondoni imepata Mkurugenzi bora na mzalendo, amekuwa kiongozi hodari katika kuhakikisha vipaumbele vya Halmashauri vimetekelezwa, hasa vile vinavyomgusa mwananchi moja kwa moja vimepewa kipaumbele cha kutosha na vimekamilika kwa usahihi na ubora uliokusudiwa” Amefafanua Meya Sitta.

Naye Mwenyekiti wa Kamati ya Mipangomiji na Mazingira alipokuwa akichangia mada katika kikao hicho amesema kuwa, Kinondoni imekuwa na mafanikio makubwa kwa utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo katika sekta ya elimu, Afya, Miundombinu Masoko na Mazingira ikiwa ni pamoja na utengaji wa asilimia kumi kwa ajili ya mikopo ya vijana, wazee na walemavu kufikia walengwa kwa wakati.


Ameitaja miradi hiyo kuwa ni Stendi ya Kisasa ya daladala ya Mwenge, Ofisi ya kisasa ya Manispaa, uwanja wa kisasa wa mpira wa miguu, Soko la kisasa Magomeni, Tandale ambapo yote inatekelezwa na mapato ya ndani.

Akitoa shukrani katika kikao hicho, Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Ndg. Aron Kagurumjuli ameeleza kuwa, mafanikio ya utekelezaji wa miradi hiyo umetokana na ushirikiano mkubwa uliopo baina ya ofisi yake na Meya pamoja na watendaji, kwani kila mmoja amekuwa akitimiza majukumu yake pasipokuwa na migongano, iliyopelekea ufanisi katika nyanja zote za Elimu Sekondari, Afya, Masoko Miundombinu ya barabara pamoja na Mazingira.

“Tangu tumeingia kwenye utawala huu, nikiwa na Meya Sitta hatujawahi kuwa na migogoro, watendaji wamekuwa na muda mwingi wa kufikiria mambo makubwa ya maendeleo jambo ambalo limetufikisha tulipo hapa, kwenye mafanikio makubwa nandio mana leo tunapongezana hapa”, Ameeleza Kagurumjuli.

Katika hatua nyingine baraza hizo limepitisha taarifa za kamati mbalimbali ambazo ni kamati ya Fedha na uongozi, Huduma za Uchumi, Kamati ya kudhibiti UKIMWI, Kamati ya Maadili pamoja na kamati ya mipango miji na mazingira.

Imeandaliwa na

Kitengo Cha Habari na Uhusiano

 Manispaa ya Kinondoni.



Matangazo

  • UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU April 01, 2025
  • TANGAZO March 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 05, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KADA YA AFISA TEHAMA MSAIDIZI ULIOFANYIKA TAREHE 25/03/2024 March 25, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • ZAIDI YA MITI 1200 YAPANDWA KUADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU

    December 09, 2024
  • MAAMBUKIZI UKIMWI YAPUNGUA

    December 01, 2024
  • MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YASHUKA KINONDONI

    November 29, 2024
  • WENYEVITI NA WAJUMBE WAPYA WAPEWA MAELEKEZO YA MAJUKUMU YAO

    November 28, 2024
  • Tazama zote

Picha Jongefu

IFAHAMU KATA YA MZIMUNI, MANISPAA YA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • MAKTABA YA PICHA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • HOTUBA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255222170173

    Simu ya mkononi: +255733241052

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.