• Malalamiko |
    • Anuani zetu |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Municipal Profile
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources
      • AFYA NA USAFISHAJI
      • Urban planning and Land Development
      • KILIMO NA MIFUGO
      • Secondary Education
      • Pre and Primary Education
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Community Development
    • Vitengo
      • sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Tehama
    • Kata
      • Kinondoni
      • Magomeni
      • Makumbusho
      • Mwananyamala
      • Kijitonyama
      • Wazo
      • Bunju
      • Mbezi juu
      • Ndugumbi
      • Msasani
      • Kawe
      • Mzimuni
      • Mabwepande
      • Tandale
      • Kigogo
      • Mikocheni
      • Hananasif
      • Kunduchi
      • Makongo
      • Mbweni
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Education
    • Afya
    • Maji naUsafishaji
    • entrepreneur and Soft Loan
    • Agricultural Consultancy
    • livestock keeping advice
    • Tax collection Centers
  • Madiwani
    • Baraza la madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyomalizika
  • Machapisho
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
    • Vipeperushi
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha jongefu

Tehama

TEHAMA NA UHUSIANO.

Kitengo cha Teknolojia ya Habari Mawasiliano na Uhusiano (TEHAMA) kinajumuisha sehemu mbili ambazo ni

•Habari na Mahusiano

•Teknolojia ya Mawasiliano.


IDADI YA WATUMISHI.

Kitengo kinajumla ya watumishi 7

•Maafisa Habari wawili (2)

•Maafisa Tehama watano (5)


SEKTA YA HABARI NA MAHUSIANO.

•Katika sekta ya Habari na Mahusiano, kazi zinazotakiwa kufanyika ni

•Kusimamia Sera, mikakati na miongozo inayotolewa  na Serikali kuu juu ya uendeshaji wa kazi za Habari na mahusiano.

•Kutoa ushauri wa kitaalam na huduma kwa Taasisi katika Nyanja za upashaji taarifa, mawasiliano na elimu kwa Umma.

•Kuandaa mpango, bajeti, mpango kazi  na mpango mkakati wa kutekeleza kazi za Uhusiano katika Halmashauri.

•Kutangaza kazi na miradi inayofanyika katika Halmashauri.

•Kutangaza maeneo ya uwekezaji ya Halmashauri  katika tovuti, Radio, majarida na njia nyinginezo za mawasilano.

•Kuhakisha Tovuti ya Halmashauri inataarifa mpya kila wakati pamoja na wasifu wa Halmashauri.

•Kuandaa na kutoa habari za Halmashauri katika machapisho.

•Kumshauri Mkurugenzi  juu ya Mambo yanayohusiana na mawasilano, utoaji wa taarifa na uelimishaji kwa Umma juu ya majukumu yanayotekelezwa na Halmashauri  ili kuimarisha mahusiano ya ndani na nje ya Taasisi

•Kushiriki katika mijadala ya jamii kuhusu masuala ya Halsmahauri.

•Kutumia TEHAMA katika kutoa elimu kwa jamii.

•Kusimamia press briefing za Halmashauri.

•Kuishauri Halmashauri juu ya uandaaji, uzalishaji na usambazaji wa nyaraka kwa wadau mbalimbali.

•Kutayarisha na kusambaza taaria mbalimbali kupitia vipeperushi, taarifa kupitia Makala mbalimbali kwenye vyombo vya habari kwa lengo la kuhamasisha na kuelimisha  jamii juu ya majukumu ya taasisi


TEKNOLOJIA YA MAWASILIANO

•Kutoa msaada wa kiufundi kwa watumiaji wa mfumo wa EPICOR, LGRCIS, LAWSON.GOT-HOMIS na POS.

•Marekebisho na matengenezo ya vifaa vya TEHAMA (Kompyuta, Printers na Scanners)

•Kuboresa daftari la Ki-electronic lenye kuonesha idadi na hali ya vifaa vyote vya TEHAMA. “General Inventory”

•Uboreshaji wa mapato kwa kutumia njia ya Kielectronic (POS MACHINE)

•Kurekebisha/kuthamini hitilafu zozote za mtandao wa kompyuta.

•Kuandaa “specifications” za vifaa vya TEHAMA

•Kurekebisha miundombinu ya mtandao.


Matangazo

  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI TAREHE 14/08/2019. August 13, 2019
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI SIKU YA JUMATANO TAREHE 22/05/2019. May 20, 2019
  • TAARIFA KWA UMMA October 16, 2019
  • TANGAZO October 16, 2019
  • Tazama zote

Habari mpya

  • TANGAZO KUHUSU VIBANDA VYA MWENGE

    February 22, 2021
  • KINONDONI YAENDESHA MAFUNZO YA USINDIKAJI WA MBOGAMBOGA NA MATUNDA

    February 19, 2021
  • TAARIFA KUHUSIANA NA WASTAAFU WANAOLIPWA NA HAZINA

    February 18, 2021
  • TAARIFA KWA UMMA-BARAZA LA MADIWANI

    February 12, 2021
  • Tazama zote

Picha Jongefu

TAMISEMI YAIPOGEZA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ilala Municipal website
  • Ubungo Municipal Council
  • Kigamboni Municipal
  • Temeke Municipal

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • eGoverment Agency
  • Manispaa ya Kinondoni yaongoza katika Makusanyo kufikia Dec.12,2017, 2017.
  • TUME YA UTUMISHI.Tangazo la nafasi za Kazi.

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Anuani zetu

    Dar es salaam, Tanzania

    Postal Address: P.O.BOX 31902 ,2Morogoro Road

    Namba za simu: +255 22 2170173

    Namba ya simu :

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Service

Hatimiliki