• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya Utumishi
      • Afya na Usafishaji
      • Mipangomiji na Maendeleo ya Makazi
      • Kilimo na Mifugo
      • Elimu Sekondari
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Tehama
    • Kata
      • Kinondoni
      • Magomeni
      • Makumbusho
      • Mwananyamala
      • Kijitonyama
      • Wazo
      • Bunju
      • Mbezi juu
      • Ndugumbi
      • Msasani
      • Kawe
      • Mzimuni
      • Mabwepande
      • Tandale
      • Kigogo
      • Mikocheni
      • Hananasif
      • Kunduchi
      • Makongo
      • Mbweni
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Elimu
    • Afya
    • Maji na Usafishaji
    • Ujasiriamali na utoaji wa mikopo
    • Ushauri katika Kilimo
    • Elimu ya ufugaji mifugo na nyuki
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
  • Madiwani
    • Baraza la madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Vipeperushi
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

WADAU MBALIMBALI WA MAENDELEO WATAKIWA KUSHIRIKI UJENZI WA NYUMBA ZA MAASKARI, PAMOJA NA VITUO VYA POLISI

Posted on: May 25th, 2018

 Hayo yamezungumzwa na Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Majaliwa Kassim Majaliwa wakati wa ufunguzi wa kituo cha polisi cha mbweni kilichojengwa kwa nguvu za wananchi wakishirikiana na wadau wa maendeleo pamoja jeshi la polisi kilichopo Manispaa ya Kinondoni.

 

Amesema ujenzi wa vituo hivi utawarahisishia polisi wetu kufanya kazi katika mazingira rafiki na salama hasa ikizingatiwa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ipo makini katika kuhakikisha wanaimarisha miundombinu katika jeshi.

  "Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ina nia madhubuti ya kuhakikisha vituo hivi vya polisi vinaboreshwa, na ndio maana Rais wetu Dr. John Pombe Magufuli ameridhia kutumika kwa Bilioni Kumi kwaajili ya ujenzi wa nyumba za maaskari polisi, na kutoa kibali cha ajira kwa Askari 1500 ,"Amebainisha Waziri Majaliwa 

 Aidha amewataka jeshi la polisi pamoja na maboresho hayo, kuenda sambamba na uimarishaji wa nidhamu na maadili ya jeshi hilo.

 Awali akiongea kabla ya kumkaribisha waziri mkuu, Naibu waziri wa Mambo ya ndani ya nchi Mh Hamad Masauni amesema kituo hicho ni msaada mkubwa kwa wananchi wa mbweni na maeneo ya karibu kwani pamoja na mambo mengine kutakuwa na dawati la jinsia litakaloshughulikia kero mbalimbali za wananchi.

 Naye Kamanda wa jeshi la polisi nchini Tanzania IGP Simon Sirro amewataka wafungwa waliopata msamaha wa Rais kuwa raia wema,kujiepusha na uhalifu ili kuondokana na makosa yasiyoyalazima kwani kwa kutokufanya hivyo hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao. 

 Katika ziara yake hiyo, Mh Waziri Majaliwa amezindua kituo  cha polisi Mburahati na  Kiluvya vilivyopo Manispaa ya Ubungo katika hafla iliyoambatana na ugawaji wa vyeti kwa wadau mbalimbali walioshiriki ujenzi wa vituo hivyo ambao ni kampuni ya Estim, Twiga cement, TRA, Bakhresa,pamoja na Lake oil.


 Imeandaliwa na
 Kitengo cha Habari na Uhusiano.
  Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • TANGAZO KUHUSU VIBANDA VYA MWENGE February 22, 2021
  • TAARIFA KUHUSIANA NA WASTAAFU WANAOLIPWA NA HAZINA February 18, 2021
  • TANGAZO KUHUSU WAMILIKI WA KUMBI ZA BURUDANI, SHEREHE NA BAA January 22, 2021
  • HAWA HAPA WADAIWA SUGU WA LESENI ZA BIASHARA MANISPAA YA KINONDONI December 04, 2020
  • Tazama zote

Habari mpya

  • WATENDAJI WA KATA NA MITAA KINONDONI TIMIZENI WAJIBU WENU

    April 08, 2021
  • ZIARA YA KATA KWA KATA WILAYA YA KINONDONI YAANZA LEO

    April 01, 2021
  • MSTAHIKI MEYA MANISPAA YA KINONDONI MHE. SONGORO MNYONGE AKIFAFANUA JAMBO WAKATI WA BARAZA LA MADIWANI

    March 17, 2021
  • UWASILISHWAJI WA TAARIFA ZA KAMATI ZA KUDUMU-BARAZA LA MADIWANI.

    March 17, 2021
  • Tazama zote

Picha Jongefu

DCChongolo akemea vikali wakandarasi wazembe
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ilala Municipal website
  • Ubungo Municipal Council
  • Kigamboni Municipal
  • Temeke Municipal

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • eGoverment Agency
  • Manispaa ya Kinondoni yaongoza katika Makusanyo kufikia Dec.12,2017, 2017.
  • TUME YA UTUMISHI.Tangazo la nafasi za Kazi.

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Dar es salaam, Tanzania

    Postal Address: P.O.BOX 31902 ,2Morogoro Road

    Namba za simu: +255 22 2170173

    Namba ya simu :

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Service

Hatimiliki