• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya Utumishi
      • Afya na Usafishaji
      • Mipangomiji na Maendeleo ya Makazi
      • Kilimo na Mifugo
      • Elimu Sekondari
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Tehama
    • Kata
      • Kinondoni
      • Magomeni
      • Makumbusho
      • Mwananyamala
      • Kijitonyama
      • Wazo
      • Bunju
      • Mbezi juu
      • Ndugumbi
      • Msasani
      • Kawe
      • Mzimuni
      • Mabwepande
      • Tandale
      • Kigogo
      • Mikocheni
      • Hananasif
      • Kunduchi
      • Makongo
      • Mbweni
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Elimu
    • Afya
    • Maji na Usafishaji
    • Ujasiriamali na utoaji wa mikopo
    • Ushauri katika Kilimo
    • Elimu ya ufugaji mifugo na nyuki
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
  • Madiwani
    • Baraza la madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Vipeperushi
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

UMOJA NA MSHIKAMANO VYATAJWA KUWA KIGEZO CHA UTEKELEZAJI BORA WA ILANI YA CCM KINONDONI

Posted on: April 19th, 2018

 Hayo yamethibitishwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam Bi Kate S. Kamba alipofanya ziara katika Wilaya hiyo ,kwa lengo la kukagua utekelezaji wa Ilani katika miradi inayoendelea kutekelezwa katika Halmashauri hiyo. 

 Amesema kwa hatua na ubora wa miradi hiyo, Kinondoni yadhihirisha ufuatiliaji, usimamiaji pamoja na mshikamano wa viongozi, walionao katika kuhakikisha wanafanikisha kusudi liletalo tija kwa wananchi wake. 

 "Nawapongeza Mh Mkuu wa Wilaya, Mkurugenzi, Baraza la madiwani, na wakuu wa idara na vitengo, hapa inaonesha kunamshikamano "

 Ameongeza kuwa mipango na mikakati iliyowekwa ni vema ikatekelezwa ili wananchi waweze kunufaishwa nayo, hasa ikizingatiwa mikakati hiyo ipo katika ilani inayotekelezwa kwa mwaka 2015-2020.

 Akisoma mpango wa utekelezaji wa Ilani ya CCM bi Gifti Isaya ambaye ni katibu tawala wa Wilaya kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, amesema mpango huo umeandaliwa kwa kuzingatia maelezo yaliyopo kwenye ilani pamoja na sera na miongozo mbalimbali ya kisekta ikiwa ni pamoja na taarifa mbalimbali zinazokusanywa.

 Aidha ameitaja mikakati hiyo kuwa ni uboreshaji na upanuzi wa huduma bora kwa jamii, uboreshaji wa elimu ya awali, msingi na sekondari, uboreshaji wa miundombinu ya kutolea huduma kwa wananchi pamoja na uhamasishaji wa matumizi endelevu ya maliasili na ardhi. 

 Nyingine ufanisi katika ukusanyaji wa mapato na kodi, uimarishaji wa sekta zisizo rasmi, usimamizi wa usafi pamoja na kusimamia mikakati ya kupunguza maambukizi ya ukimwi. 

 Naye Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Ndg Aron Kagurumjuli ameishukuru kamati hiyo kwa kuitembelea Halmashauri na kukagua miradi inayotekelezwa na kuahidi kuyafanyia kazi maelekezo na mapendekezo yaliyoinishwa na wajumbe. 

 Miradi iliyotembelewa ni ile ihusuyo sekta ya Elimu, afya na miundombinu ya barabara. 

 Imeandaliwa na
 Kitengo cha Uhusiano na Habari.
 Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • TANGAZO KUHUSU VIBANDA VYA MWENGE February 22, 2021
  • TAARIFA KUHUSIANA NA WASTAAFU WANAOLIPWA NA HAZINA February 18, 2021
  • TANGAZO KUHUSU WAMILIKI WA KUMBI ZA BURUDANI, SHEREHE NA BAA January 22, 2021
  • HAWA HAPA WADAIWA SUGU WA LESENI ZA BIASHARA MANISPAA YA KINONDONI December 04, 2020
  • Tazama zote

Habari mpya

  • WATENDAJI WA KATA NA MITAA KINONDONI TIMIZENI WAJIBU WENU

    April 08, 2021
  • ZIARA YA KATA KWA KATA WILAYA YA KINONDONI YAANZA LEO

    April 01, 2021
  • MSTAHIKI MEYA MANISPAA YA KINONDONI MHE. SONGORO MNYONGE AKIFAFANUA JAMBO WAKATI WA BARAZA LA MADIWANI

    March 17, 2021
  • UWASILISHWAJI WA TAARIFA ZA KAMATI ZA KUDUMU-BARAZA LA MADIWANI.

    March 17, 2021
  • Tazama zote

Picha Jongefu

DCChongolo akemea vikali wakandarasi wazembe
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ilala Municipal website
  • Ubungo Municipal Council
  • Kigamboni Municipal
  • Temeke Municipal

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • eGoverment Agency
  • Manispaa ya Kinondoni yaongoza katika Makusanyo kufikia Dec.12,2017, 2017.
  • TUME YA UTUMISHI.Tangazo la nafasi za Kazi.

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Dar es salaam, Tanzania

    Postal Address: P.O.BOX 31902 ,2Morogoro Road

    Namba za simu: +255 22 2170173

    Namba ya simu :

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Service

Hatimiliki