• Malalamiko |
    • Anuani zetu |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Municipal Profile
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources
      • AFYA NA USAFISHAJI
      • Urban planning and Land Development
      • KILIMO NA MIFUGO
      • Secondary Education
      • Pre and Primary Education
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Community Development
    • Vitengo
      • sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Tehama
    • Kata
      • Kinondoni
      • Magomeni
      • Makumbusho
      • Mwananyamala
      • Kijitonyama
      • Wazo
      • Bunju
      • Mbezi juu
      • Ndugumbi
      • Msasani
      • Kawe
      • Mzimuni
      • Mabwepande
      • Tandale
      • Kigogo
      • Mikocheni
      • Hananasif
      • Kunduchi
      • Makongo
      • Mbweni
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Education
    • Afya
    • Maji naUsafishaji
    • entrepreneur and Soft Loan
    • Agricultural Consultancy
    • livestock keeping advice
    • Tax collection Centers
  • Madiwani
    • Baraza la madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyomalizika
  • Machapisho
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
    • Vipeperushi
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha jongefu

TIMU YA MPIRA WA MIGUU KMC YAPANDA DARAJA NA KUINGIA LIGI KUU TANZANIA BARA.

Posted on: February 5th, 2018

 NI BAADA YA KUICHAPA JKT MLALE BAO MOJA BILA KATIKA MTANANGE ULIOFANYIKA KATIKA VIWANJA VYA MAJIMAJI MJINI SONGEA. 

 KUFUATIA USHINDI HUO, KINONDONI YAAHIDI KUFUNGUA ACADEMY KWA LENGO LA KUKUZA VIPAJI VINGI ZAIDI. 

 Hatimae timu ya mpira wa miguu ya KMC imefanikiwa kupanda daraja na kuingia ligi kuu Tanzania bara baada ya mtanange makali kati yake na JKT Mlale na kuichapa  bao Moja kwa sifuri katika mechi iliyochezwa leo viwanja vya Majimaji Mjini Songea. 

 Katika goli lililofungwa dakika ya 45  na kiungo mshambuliaji Abdulhahim Humudi liliamsha hisia za mashabiki wa KMC na kuwavunja nguvu mashabiki wa upinzani wa JKT Mlale pale walipoona dakika zikiyoyoma pasipo matumaini. 

 Mpaka mpira unamalizika KMC iliibuka kidedea kwa kuongoza bao Moja  huku mpinzani wake  akiambulia patupu.

 Kwa upande wake Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni Mh Benjamin Sitta ambae alihudhuria mtanange huo ameonesha kufurahishwa kwake na ushindi uliopatikana na kuahidi kuendelea kuipa sapoti timu hiyo katika mechi za ligi kuu na kuongeza Kuwa Manispa ya Kinondoni inadhamira ya kufungua academy itakayoibua vipaji vingi zaidi.

 Naye mwalimu wa timu Bw Frederick Minzilo amesema ushindi huo waliutegemea kwani timu  ilijiandaa vizuri na ilikua na ari kubwa ya ushindi.

 Imetolewa na
 Kitengo cha Habari na Uhusiano.
 Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI TAREHE 14/08/2019. August 13, 2019
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI SIKU YA JUMATANO TAREHE 22/05/2019. May 20, 2019
  • TAARIFA KWA UMMA October 16, 2019
  • TANGAZO October 16, 2019
  • Tazama zote

Habari mpya

  • BARAZA LA MADIWANI KINONDONI LAPITISHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    January 07, 2021
  • NI KINONDONI TENA UFAULU WA MATOKEO YA DARASA LA SABA 2020 MKOA WA DAR ES SALAAM

    December 24, 2020
  • NAIBU WAZIRI-OFISI YA WAZIRI MKUU ARIDHISHWA NA NAMNA KINONDONI INAVYOWEZESHA WANANCHI KIUCHUMI

    December 22, 2020
  • HOSPITALI YA SANITAS YAPEWA SIKU SABA KUKAMILISHA MALIMBIKIZO YA MISHAHARA YA WATUMISHI WAKE

    December 22, 2020
  • Tazama zote

Picha Jongefu

TAMISEMI YAIPOGEZA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ilala Municipal website
  • Ubungo Municipal Council
  • Kigamboni Municipal
  • Temeke Municipal

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • eGoverment Agency
  • Manispaa ya Kinondoni yaongoza katika Makusanyo kufikia Dec.12,2017, 2017.
  • TUME YA UTUMISHI.Tangazo la nafasi za Kazi.

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Anuani zetu

    Dar es salaam, Tanzania

    Postal Address: P.O.BOX 31902 ,2Morogoro Road

    Namba za simu: +255 22 2170173

    Namba ya simu :

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Service

Hatimiliki