• Malalamiko |
    • Anuani zetu |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Municipal Profile
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources
      • AFYA NA USAFISHAJI
      • Urban planning and Land Development
      • KILIMO NA MIFUGO
      • Secondary Education
      • Pre and Primary Education
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Community Development
    • Vitengo
      • sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Tehama
    • Kata
      • Kinondoni
      • Magomeni
      • Makumbusho
      • Mwananyamala
      • Kijitonyama
      • Wazo
      • Bunju
      • Mbezi juu
      • Ndugumbi
      • Msasani
      • Kawe
      • Mzimuni
      • Mabwepande
      • Tandale
      • Kigogo
      • Mikocheni
      • Hananasif
      • Kunduchi
      • Makongo
      • Mbweni
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Education
    • Afya
    • Maji naUsafishaji
    • entrepreneur and Soft Loan
    • Agricultural Consultancy
    • livestock keeping advice
    • Tax collection Centers
  • Madiwani
    • Baraza la madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyomalizika
  • Machapisho
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
    • Vipeperushi
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha jongefu

SEMINA ELEKEZI KWA WAGAWA DAWA ZA KINGATIBA YA MABUSHA, MATENDE NA MINYOO YATOLEWA KINONDONI

Posted on: December 14th, 2018

Semina hiyo iliyohusisha wagawa dawa za kingatiba za magonjwa ya mabusha na matende kutoka kata zote 20 za Manispaa ya kinondoni, imefanyika leo katika ukumbi wa Roman Catholic ulioko Manzese.

Akieleza malengo ya semina hiyo, mratibu wa magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele katika manispaa ya Kinondoni Dr. Neema Mlole amesema, lengo ni kuhakikisha elimu iliyosahihi juu ya kampeni hii inatolewa kwa usahihi na kueleweka,  lakini pia ni katika kuzingatia baadhi ya vipengele vinavyompasa binadamu yeyote yule kumeza dawa vinafuatwa, kadhalika na kuhakikisha pia malengo yaliyokusudiwa ya kufikia wananchi takribani milioni 1.2 kwa kampeni hii pia yanafikiwa.

"Ili tuweze kufikia malengo madhubuti, ni lazima elimu sahihi itolewe, lakini pia tunahitaji kuimarisha na kuhakikisha  tunalinda nguvu kazi ya wananchi,na  namna pekee ni kuboresha afya zao pale inapobidi kwa kuhakikisha wanashiriki kampeni hizi kwa uhakika a ufasaha mkubwa. Amesisitiza Dr Neema.

Ameongeza kuwa kinondoni kwa kushirikiana na Wizara ya afya, maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto kitengo cha magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele itaendesha  kampeni  kuanzia tarehe 15/12/2018 na kuisha tarehe 20/12/2018 ,,hivyo wagawa dawa hawa ni watu muhimu sana katika kuhakikisha ufanisi huo unakuwepo na unazingatiwa.

Katika semina hiyo pamoja na zoezi la usambazaji kingatiba kwa ajili ya kampeni hiyo iliyoambatana na ugawaji wa vifaa vitakavyotumika, pia wamejifunza namna thabiti ya utoaji huduma hiyo, vitu vya kuzingatia kabla na baada ya utoaji wake, na upi umri sahihi wa mtu kumeza dawa ikiwa ni pamoja na kupima urefu.

Katika hatua nyingine, wagawa dawa hao wameishukuru Wizara pamoja na Halmashauri kwa kuendesha kampeni hii yenye manufaa kwa afya za wanadamu, na kuahidi ushirikiano mkubwa katika kuhakikisha hilo linafanikiwa.

Imeandaliwa na

Kitengo Cha Habari na Uhusiano.

Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI TAREHE 14/08/2019. August 13, 2019
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI SIKU YA JUMATANO TAREHE 22/05/2019. May 20, 2019
  • TAARIFA KWA UMMA October 16, 2019
  • TANGAZO October 16, 2019
  • Tazama zote

Habari mpya

  • BARAZA LA MADIWANI KINONDONI LAPITISHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    January 07, 2021
  • NI KINONDONI TENA UFAULU WA MATOKEO YA DARASA LA SABA 2020 MKOA WA DAR ES SALAAM

    December 24, 2020
  • NAIBU WAZIRI-OFISI YA WAZIRI MKUU ARIDHISHWA NA NAMNA KINONDONI INAVYOWEZESHA WANANCHI KIUCHUMI

    December 22, 2020
  • HOSPITALI YA SANITAS YAPEWA SIKU SABA KUKAMILISHA MALIMBIKIZO YA MISHAHARA YA WATUMISHI WAKE

    December 22, 2020
  • Tazama zote

Picha Jongefu

TAMISEMI YAIPOGEZA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ilala Municipal website
  • Ubungo Municipal Council
  • Kigamboni Municipal
  • Temeke Municipal

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • eGoverment Agency
  • Manispaa ya Kinondoni yaongoza katika Makusanyo kufikia Dec.12,2017, 2017.
  • TUME YA UTUMISHI.Tangazo la nafasi za Kazi.

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Anuani zetu

    Dar es salaam, Tanzania

    Postal Address: P.O.BOX 31902 ,2Morogoro Road

    Namba za simu: +255 22 2170173

    Namba ya simu :

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Service

Hatimiliki