• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya Utumishi
      • Afya na Usafishaji
      • Mipangomiji na Maendeleo ya Makazi
      • Kilimo na Mifugo
      • Elimu Sekondari
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Tehama
    • Kata
      • Kinondoni
      • Magomeni
      • Makumbusho
      • Mwananyamala
      • Kijitonyama
      • Wazo
      • Bunju
      • Mbezi juu
      • Ndugumbi
      • Msasani
      • Kawe
      • Mzimuni
      • Mabwepande
      • Tandale
      • Kigogo
      • Mikocheni
      • Hananasif
      • Kunduchi
      • Makongo
      • Mbweni
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Elimu
    • Afya
    • Maji na Usafishaji
    • Ujasiriamali na utoaji wa mikopo
    • Ushauri katika Kilimo
    • Elimu ya ufugaji mifugo na nyuki
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
  • Madiwani
    • Baraza la madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Vipeperushi
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

MWEKEZAJI MAKUMBUSHO: MARUFUKU KUTOZA FEDHA ZISIZOAINISHWA KWENYE MKATABA

Posted on: October 1st, 2017

APEWA MWEZI MMOJA KULIPA DENI LA TSH 99 MILIONI ANALODAIWA NA MANISPAA.

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mh Ali Hapi amemtaka mwekezaji wa kituo cha makumbusho kuacha mara moja kutoza wamachinga wa kituo hicho fedha zisizo ndani ya mkataba wake wa uwekezaji

Amelitoa agizo hilo leo alipokuwa katika ziara yake ya Kiserikali katika soko la Makumbusho kwa lengo la kusikiliza na kutatua kero za wananchi ambapo alipata nafasi ya kuongea na wafanyabiashara pamoja na Mama lishe wa sokoni hapo.

Amesema kwa kufanya hivyo ni dhuluma, na ni uonevu pia ni kinyume cha sheria kwa mtu yeyote yule kufanya mambo yaliyo nje ya mkataba wowote ule.

"Mwekezaji kuanzia leo ni marufuku kutoza fedha ulizokuwa unawatoza vijana wa bajaji, fedha ambazo haziko kwenye mkataba, malipo yeyote ambayo hayako kwenye mkataba hana haki ya kutoza malipo hayo "alisisitiza Hapi

Ameongeza kuwa ni vema mkataba huo ukapitiwa upya ili kuona kama unatija au la ili hatua stahiki zichukuliwe kwa maslahi ya Taifa.

Alipotakiwa kutoa ufafanuzi kuhusiana na deni Mwekezaji huyo analodaiwa na Manispaa Bw. Dismas Hafidhi ambaye ni Meneja wa vituo vya Mabasi Manispaa ya Kinondoni . amesema mwekezaji huyo ajulikanae kwa jina la Estern Capital anadaiwa kiasi cha tsh 99Milioni.

Hata hivyo mwekezaji huyo alipotakiwa kuthibitisha deni hilo alikiri kudaiwa kiasi hicho na kuahidi kulilipa ndani ya muda uliopangwa.

Katika hatua nyingine Afisa Masoko wa Manispaa hiyo Bw. Zahoro Hanuna ametakiwa kusimamia Sheria, kanuni na taratibu zinazotakiwa za kuendesha masoko ili kuepukana na migogoro isiyoyalazima hasa ile ya mtu mmoja kumiliki kizimba zaidi ya kimoja.

Aidha ametakiwa kuhakikisha magenge yote yaliyoko kwenye maeneo ya Masoko yanaondolewa.

Imetolewa na
Kitengo cha Uhusiano
Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • TANGAZO KUHUSU VIBANDA VYA MWENGE February 22, 2021
  • TAARIFA KUHUSIANA NA WASTAAFU WANAOLIPWA NA HAZINA February 18, 2021
  • TANGAZO KUHUSU WAMILIKI WA KUMBI ZA BURUDANI, SHEREHE NA BAA January 22, 2021
  • HAWA HAPA WADAIWA SUGU WA LESENI ZA BIASHARA MANISPAA YA KINONDONI December 04, 2020
  • Tazama zote

Habari mpya

  • WATENDAJI WA KATA NA MITAA KINONDONI TIMIZENI WAJIBU WENU

    April 08, 2021
  • ZIARA YA KATA KWA KATA WILAYA YA KINONDONI YAANZA LEO

    April 01, 2021
  • MSTAHIKI MEYA MANISPAA YA KINONDONI MHE. SONGORO MNYONGE AKIFAFANUA JAMBO WAKATI WA BARAZA LA MADIWANI

    March 17, 2021
  • UWASILISHWAJI WA TAARIFA ZA KAMATI ZA KUDUMU-BARAZA LA MADIWANI.

    March 17, 2021
  • Tazama zote

Picha Jongefu

DCChongolo akemea vikali wakandarasi wazembe
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ilala Municipal website
  • Ubungo Municipal Council
  • Kigamboni Municipal
  • Temeke Municipal

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • eGoverment Agency
  • Manispaa ya Kinondoni yaongoza katika Makusanyo kufikia Dec.12,2017, 2017.
  • TUME YA UTUMISHI.Tangazo la nafasi za Kazi.

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Dar es salaam, Tanzania

    Postal Address: P.O.BOX 31902 ,2Morogoro Road

    Namba za simu: +255 22 2170173

    Namba ya simu :

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Service

Hatimiliki