• Malalamiko |
    • Anuani zetu |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Municipal Profile
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources
      • AFYA NA USAFISHAJI
      • Urban planning and Land Development
      • KILIMO NA MIFUGO
      • Secondary Education
      • Pre and Primary Education
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Community Development
    • Vitengo
      • sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
    • Kata
      • Kinondoni
      • Magomeni
      • Makumbusho
      • Mwananyamala
      • Kijitonyama
      • Wazo
      • Bunju
      • Mbezi juu
      • Ndugumbi
      • Msasani
      • Kawe
      • Mzimuni
      • Mabwepande
      • Tandale
      • Kigogo
      • Mikocheni
      • Hananasif
      • Kunduchi
      • Makongo
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Education
    • Afya
    • Maji naUsafishaji
    • entrepreneur and Soft Loan
    • Agricultural Consultancy
    • livestock keeping advice
    • Tax collection Centers
  • Madiwani
    • Baraza la madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyomalizika
  • Machapisho
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
    • Vipeperushi
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha jongefu

MTOTO AKILINDWA NA KUTHAMINIWA IPASAVYO NI HAZINA KUELEKEA UCHUMI WA KATI WA VIWANDA

Posted on: June 14th, 2018

Ni kauli yake Mh Phares Lupomo,Diwani Kata ya Mbezi juu alipokuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika yenye kauli mbiu isemayo "Kuelekea uchumi wa kati wa viwanda, tusimwache nyuma mtoto " yaliyofanyika katika kata yake ya Mbezi juu,  kwa kuwahusisha watoto katika michezo mbalimbali .

Amesema, lengo la maadhimisho hayo pamoja na vitu vingine ni kumuunganisha, kumchochea na kumkumbusha mzazi wajibu wake kwa mtoto ambaye ndiye taifa tegemezi kuelekea uchumi wa kati wa viwanda.


"Tulipofikia hapa Kama viongozi tunatakiwa kukumbuka kwamba nasi pia tulikuwa watoto hivyo nawaomba wadau wote tuungane pamoja kuwaandalia kesho njema watoto wetu kwa kujali, kulinda na kuwapa stahiki zao za msingi leo" .Amesema Mh Phares.

Naye Afisa Maendeleo ya jamii wa Kata hiyo Bi Julieth J Nzugika amewasihi wazazi na wanajamii kwa ujumla kuzingatia ,kuheshimu na kuzidumisha haki za watoto ili waweze kufikia ndoto zao.

Amezitaja haki hizo kuwa ni kulindwa, kupewa elimu bora, kuwa na malazi salama na kusikilizwa, ambavyo ndio msingi imara utakaomwezesha mtoto kujitambua na kujithamini  kufikia ndoto anayoitazamia kwa maisha ya sasa na ya baadae.


Imeandaliwa na

Kitengo Cha Habari na uhusiano

Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI TAREHE 14/08/2019. August 13, 2019
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI SIKU YA JUMATANO TAREHE 22/05/2019. May 20, 2019
  • TAARIFA KWA UMMA October 16, 2019
  • TANGAZO October 16, 2019
  • Tazama zote

Habari mpya

  • KINONDONI YAANDAA MAONESHO YA BIDHAA ZA NGOZI YATAKAYOFANYIKA VIWANJA VYA TANGANYIKA PACKERS

    December 10, 2019
  • KINONDONI YAAPISHA WENYEVITI WA SERIKALI ZA MITAA NA WAJUMBE WAKE

    December 02, 2019
  • BARAZA LA MADIWANI KINONDONI LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UFAULU MZURI WA DARASA LA SABA 2019

    November 28, 2019
  • MADIWANI WA HALMASHAURI YA MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA KUJIFUNZA NAMNA YA UKUSANYAJI MAPATO KATIKA HALMASHAURI YA KINONDONI

    November 27, 2019
  • Tazama zote

Picha Jongefu

TAMISEMI YAIPOGEZA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ilala Municipal website
  • Ubungo Municipal Council
  • Kigamboni Municipal
  • Temeke Municipal

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • eGoverment Agency
  • Manispaa ya Kinondoni yaongoza katika Makusanyo kufikia Dec.12,2017, 2017.
  • TUME YA UTUMISHI.Tangazo la nafasi za Kazi.

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Anuani zetu

    Dar es salaam, Tanzania

    Postal Address: P.O.BOX 31902 ,2Morogoro Road

    Namba za simu: +255 22 2170173

    Namba ya simu :

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Service

Hatimiliki