• Malalamiko |
    • Anuani zetu |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Municipal Profile
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources
      • AFYA NA USAFISHAJI
      • Urban planning and Land Development
      • KILIMO NA MIFUGO
      • Secondary Education
      • Pre and Primary Education
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Community Development
    • Vitengo
      • sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
    • Kata
      • Kinondoni
      • Magomeni
      • Makumbusho
      • Mwananyamala
      • Kijitonyama
      • Wazo
      • Bunju
      • Mbezi juu
      • Ndugumbi
      • Msasani
      • Kawe
      • Mzimuni
      • Mabwepande
      • Tandale
      • Kigogo
      • Mikocheni
      • Hananasif
      • Kunduchi
      • Makongo
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Education
    • Afya
    • Maji naUsafishaji
    • entrepreneur and Soft Loan
    • Agricultural Consultancy
    • livestock keeping advice
    • Tax collection Centers
  • Madiwani
    • Baraza la madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyomalizika
  • Machapisho
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
    • Vipeperushi
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha jongefu

KINONDONI YAPOKEA UGENI TOKA ZANZIBAR KWA LENGO LA KUJIFUNZA MASUALA YA USHIRIKA

Posted on: November 25th, 2019

Halmashauri ya Manispaa ya kinondoni imepokea ugeni toka Zanzibar ukiongozwa na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya kazi,Uwezeshaji, Wazee,Wanawake na  Watoto Bi Maua Rajab, Mrajis wa idara ya Ushirika pamoja na viongozi na watendaji wa FARAJA Union waliofika kwa lengo la kubadilishana uzoefu na changamoto na  wenzao wa kinondoni katika kuendesha vyama vya ushirika.

Bi Maua amesema wamechagua Kinondoni sababu wanaamini wapo vizuri katika kuendesha vyama vya ushirika hususan kwa kutumia mfumo laini kwaaajili ya usimamizi na upatikanaji wa taarifa za vyama kwa wakati na kwa usahihi.

Naye Mrajis wa Idara ya Ushirika Zanzibar Bw Hamis Daudi Simba amesema kuwa Zanzibar wana muungano wa vyama na saccos mbalimbali (FARAJA) hivyo wanaziara ya kutembelea maeneo mbalimbali ambayo wamefanikiwa katika masuala ya Ushirika ili na wao waweze kuboresha Umoja wao.

Awali alitoa taarifa ya vyama vya ushirika kwa Manispaa ya kinondoni, Afisa Ushirika wa Manispaa Bi Scholastica Maganga amesema Kinondoni ina vyama vya ushirika 153 Kati ya hivyo vyama 137 Ni vya akiba na mikopo na 16 ni vya huduma mbalimbali ikiwemo chama Cha ujenzi wa nyumba.

Amesema vyama hivi vina jumla ya wanachama zaidi ya 54000 ambao wamewekeza hisa zaidi ya TShs 15 Bilioni na akiba zaidi ya Bilioni 64 na mikopo zaidi ya Bilioni 35.

Aidha sehemu ya Ushirika Manispaa ya Kinondoni kwa sasa inakamilisha mfumo laini kwaaajili ya usimamizi na upatikanaji wa taarifa za vyama kwa wakati na kwa usahihi.

Ugeni huo umepata fursa ya kutembelea wat saccos na chama Cha ujenzi wa Nyumba  Mwenge  vyama vya kijamii ambavyo vina mfano mzuri wa kuigwa hivyo ni sehemu nzuri kwao kujifunza Mambo mengi ya ushirika

Imeandaliwa naKitengo Cha habari na uhusianoManispaa ya kinondoni.

Matangazo

  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI TAREHE 14/08/2019. August 13, 2019
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI SIKU YA JUMATANO TAREHE 22/05/2019. May 20, 2019
  • TAARIFA KWA UMMA October 16, 2019
  • TANGAZO October 16, 2019
  • Tazama zote

Habari mpya

  • KINONDONI YAAPISHA WENYEVITI WA SERIKALI ZA MITAA NA WAJUMBE WAKE

    December 02, 2019
  • BARAZA LA MADIWANI KINONDONI LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UFAULU MZURI WA DARASA LA SABA 2019

    November 28, 2019
  • MADIWANI WA HALMASHAURI YA MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA KUJIFUNZA NAMNA YA UKUSANYAJI MAPATO KATIKA HALMASHAURI YA KINONDONI

    November 27, 2019
  • KINONDONI YAPOKEA UGENI TOKA ZANZIBAR KWA LENGO LA KUJIFUNZA MASUALA YA USHIRIKA

    November 25, 2019
  • Tazama zote

Picha Jongefu

TAMISEMI YAIPOGEZA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ilala Municipal website
  • Ubungo Municipal Council
  • Kigamboni Municipal
  • Temeke Municipal

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • eGoverment Agency
  • Manispaa ya Kinondoni yaongoza katika Makusanyo kufikia Dec.12,2017, 2017.
  • TUME YA UTUMISHI.Tangazo la nafasi za Kazi.

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Anuani zetu

    Dar es salaam, Tanzania

    Postal Address: P.O.BOX 31902 ,2Morogoro Road

    Namba za simu: +255 22 2170173

    Namba ya simu :

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Service

Hatimiliki