• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya Utumishi
      • Afya na Usafishaji
      • Mipangomiji na Maendeleo ya Makazi
      • Kilimo na Mifugo
      • Elimu Sekondari
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Tehama
    • Kata
      • Kinondoni
      • Magomeni
      • Makumbusho
      • Mwananyamala
      • Kijitonyama
      • Wazo
      • Bunju
      • Mbezi juu
      • Ndugumbi
      • Msasani
      • Kawe
      • Mzimuni
      • Mabwepande
      • Tandale
      • Kigogo
      • Mikocheni
      • Hananasif
      • Kunduchi
      • Makongo
      • Mbweni
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Elimu
    • Afya
    • Maji na Usafishaji
    • Ujasiriamali na utoaji wa mikopo
    • Ushauri katika Kilimo
    • Elimu ya ufugaji mifugo na nyuki
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
  • Madiwani
    • Baraza la madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Vipeperushi
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

KINONDONI YAPOKEA MIFUKO 400 YA CEMENTI KUTOKA KANISA LA INUKA UANGAZE

Posted on: January 25th, 2019

Akipokea mifuko hiyo ya cementi kutoka kanisa la Inuka uangaze linaloongozwa na Mtume Boniface Mwamposa,  Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mh.Daniel Chongolo amesema imekuja wakati muafaka kwani  itasaidia kuleta hamasa ya nguvu ya wananchi katika kuhakikisha kunakuwepo na mafanikio ya utatuzi wa  changamoto kubwa ya  madarasa iliyoko Wilayani hapo.

Amesema Serikali ya awamu ya tano dhamira yake kuu ni kuboresha miundombinu ya elimu pamoja na mfumo wake, hivyo mifuko hiyo  imekuja kipindi ambacho Wilaya yake imepanga kufikia mwezi wa tatu mwaka huu iwe imekamilisha madarasa mia moja.

"Tunamshukuru na kumpongeza Mchungaji na Mtume Mwamposa pamoja na kanisa lake lote, kuona umuhimu wa kuchangia swala la elimu, niseme tu kwamba Msaada huu wa mifuko ya cement umekuja wakati mwafaka, kwani  tulishajiwekea malengo mkakati ya kutatua changamoto iliyopo mbele yetu ya vyumba vya madarasa kwa kushirikiana na nguvu za wananchi kuhakikisha  tunajenga mdarasa mia moja ifikapo mwezi wa tatu, ikiwa ni hatua za awali za  kuhakikisha tunakabiliana na  upungufu wa vyumba vya madarasa katika Wilaya yetu.".Amebainisha Chongolo

Ameongeza kuwa Jamii yetu inajengwa na taasisi mbalimbali ambazo kwa pamoja zikishirikiana na serikali zitaleta Matokeo chanya, hivyo tukio la leo limedhihirisha nia thabiti mliyonayo ya kumuunga mkono Mh. Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli ya kuboresha miundombinu ya elimu Nchini.

Akikabidhi mifuko hiyo, Mchungaji na Mtume Boniface Mwamposa amesema ni katika kuunga mkono juhudi za Mh Rais katika kuboresha sekta ya Elimu, kadhalika ni kutekeleza agizo la Mungu, kwani hata biblia imeandika katika kitabu cha  Mithali 4:13 kuwa "mkamate sana elimu, usimwache aende zake mshike, maana yeye ndo uzima wako" na kuahidi kuendelea kusaidia swala zima  la elimu pale inapopasa.

Naye Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni Mhe Benjamin Sitta katika kushuhudia ugawaji huo wa mifuko ya cement ameupongeza uongozi mzima wa kanisa hilo kwa azma njema waliyonayo katika elimu, na kuzihamasisha taasisi nyingine kufanya hivyo ili kuleta tija katika sekta hii Muhimu ya Elimu katika Taifa letu.

Imeandaliwa na

Kitengo Cha Habari na Uhusiano

Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • TANGAZO KUHUSU VIBANDA VYA MWENGE February 22, 2021
  • TAARIFA KUHUSIANA NA WASTAAFU WANAOLIPWA NA HAZINA February 18, 2021
  • TANGAZO KUHUSU WAMILIKI WA KUMBI ZA BURUDANI, SHEREHE NA BAA January 22, 2021
  • HAWA HAPA WADAIWA SUGU WA LESENI ZA BIASHARA MANISPAA YA KINONDONI December 04, 2020
  • Tazama zote

Habari mpya

  • WATENDAJI WA KATA NA MITAA KINONDONI TIMIZENI WAJIBU WENU

    April 08, 2021
  • ZIARA YA KATA KWA KATA WILAYA YA KINONDONI YAANZA LEO

    April 01, 2021
  • MSTAHIKI MEYA MANISPAA YA KINONDONI MHE. SONGORO MNYONGE AKIFAFANUA JAMBO WAKATI WA BARAZA LA MADIWANI

    March 17, 2021
  • UWASILISHWAJI WA TAARIFA ZA KAMATI ZA KUDUMU-BARAZA LA MADIWANI.

    March 17, 2021
  • Tazama zote

Picha Jongefu

DCChongolo akemea vikali wakandarasi wazembe
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ilala Municipal website
  • Ubungo Municipal Council
  • Kigamboni Municipal
  • Temeke Municipal

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • eGoverment Agency
  • Manispaa ya Kinondoni yaongoza katika Makusanyo kufikia Dec.12,2017, 2017.
  • TUME YA UTUMISHI.Tangazo la nafasi za Kazi.

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Dar es salaam, Tanzania

    Postal Address: P.O.BOX 31902 ,2Morogoro Road

    Namba za simu: +255 22 2170173

    Namba ya simu :

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Service

Hatimiliki