• Malalamiko |
    • Anuani zetu |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Municipal Profile
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources
      • AFYA NA USAFISHAJI
      • Urban planning and Land Development
      • KILIMO NA MIFUGO
      • Secondary Education
      • Pre and Primary Education
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Community Development
    • Vitengo
      • sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Tehama
    • Kata
      • Kinondoni
      • Magomeni
      • Makumbusho
      • Mwananyamala
      • Kijitonyama
      • Wazo
      • Bunju
      • Mbezi juu
      • Ndugumbi
      • Msasani
      • Kawe
      • Mzimuni
      • Mabwepande
      • Tandale
      • Kigogo
      • Mikocheni
      • Hananasif
      • Kunduchi
      • Makongo
      • Mbweni
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Education
    • Afya
    • Maji naUsafishaji
    • entrepreneur and Soft Loan
    • Agricultural Consultancy
    • livestock keeping advice
    • Tax collection Centers
  • Madiwani
    • Baraza la madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyomalizika
  • Machapisho
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
    • Vipeperushi
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha jongefu

KINONDONI YAKABIDHIWA HATI YA MANUNUZI YA JENGO LILILOKUWA KITUO CHA KULELEA WATOTO YATIMA LA DOGODOGO CENTRE KIGOGO ILIYOGHARIMU TAKRIBAN TSH MIL 400

Posted on: December 14th, 2017

 Manispaa ya Kinondoni imekabidhiwa hati ya manunuzi ya jengo la kilichokuwa kituo cha kulelea watoto yatima (Dogodogo Centre) yenye thamani ya takribani shilingi milioni 400, kwa lengo la kubadilisha matumizi na kuwa kituo cha Afya. 

 Hati hiyo imekabidhiwa leo kwa Mstahiki Meya Manispaa ya Kinondoni Mh Benjamin Sitta ikishuhudiwa na kamati ya Fedha na Uongozi, pamoja na wananchi, hafla iliyofanyika katika Kata ya Kigogo, eneo lililopo jengo hilo. 

 Akipokea hati hiyo Meya Sitta amesema ununuzi wa jengo hilo ni katika kutekeleza mkakati wa Manispaa wa kuhakikisha huduma za Afya zinaboreshwa kwa kiwango kikubwa na kuhakikisha wananchi wanapatiwa huduma bila usumbufu wowote, kwani Serikali ya awamu ya tano ni Serikali ya viwanda hivyo inahitaji kujengwa na wananchi wenye Afya bora. 

 Ameongeza kuwa azma ya Manispaa ni kuhakikisha inaondokana na msongamano wa wagonjwa kwani hapo awali zahanati ya kigogo ilikuwa inapokea idadi kubwa ya wagonjwa ikilinganishwa na uwezo wa miundombinu iliyopo, kadhalika kuleta usumbufu usio wa lazima. 

 Naye Mganga Mkuu wa Manispaa hiyo Dkt Festo Dugange amesema kuwa Manispaa ya Kinondoni imejipanga kikamilifu kuboresha miundombinu katika sekta ya Afya kwa wakazi wake, ili waweze kupatiwa matibabu yanayokidhi viwango kwa wakati na ubora unaostahili. 

 Akiongea mara baada ya kukabidhi hati hiyo, mratibu wa kituo cha Dogodogo centre Bw. Sabas Massawe amesema wamefarijika kukabidhi jengo hilo kwa Manispaa ya Kinondoni kwani wanaamini huduma za Afya zitakazotolewa hapo zitakuwa msaada mkubwa kwa wananchi. 

 Imetolewa na
 Kitengo cha Habari na Uhusiano
 Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI TAREHE 14/08/2019. August 13, 2019
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI SIKU YA JUMATANO TAREHE 22/05/2019. May 20, 2019
  • TAARIFA KWA UMMA October 16, 2019
  • TANGAZO October 16, 2019
  • Tazama zote

Habari mpya

  • BARAZA LA MADIWANI KINONDONI LAPITISHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    January 07, 2021
  • NI KINONDONI TENA UFAULU WA MATOKEO YA DARASA LA SABA 2020 MKOA WA DAR ES SALAAM

    December 24, 2020
  • NAIBU WAZIRI-OFISI YA WAZIRI MKUU ARIDHISHWA NA NAMNA KINONDONI INAVYOWEZESHA WANANCHI KIUCHUMI

    December 22, 2020
  • HOSPITALI YA SANITAS YAPEWA SIKU SABA KUKAMILISHA MALIMBIKIZO YA MISHAHARA YA WATUMISHI WAKE

    December 22, 2020
  • Tazama zote

Picha Jongefu

TAMISEMI YAIPOGEZA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ilala Municipal website
  • Ubungo Municipal Council
  • Kigamboni Municipal
  • Temeke Municipal

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • eGoverment Agency
  • Manispaa ya Kinondoni yaongoza katika Makusanyo kufikia Dec.12,2017, 2017.
  • TUME YA UTUMISHI.Tangazo la nafasi za Kazi.

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Anuani zetu

    Dar es salaam, Tanzania

    Postal Address: P.O.BOX 31902 ,2Morogoro Road

    Namba za simu: +255 22 2170173

    Namba ya simu :

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Service

Hatimiliki