• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya Utumishi
      • Afya na Usafishaji
      • Mipangomiji na Maendeleo ya Makazi
      • Kilimo na Mifugo
      • Elimu Sekondari
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Tehama
    • Kata
      • Kinondoni
      • Magomeni
      • Makumbusho
      • Mwananyamala
      • Kijitonyama
      • Wazo
      • Bunju
      • Mbezi juu
      • Ndugumbi
      • Msasani
      • Kawe
      • Mzimuni
      • Mabwepande
      • Tandale
      • Kigogo
      • Mikocheni
      • Hananasif
      • Kunduchi
      • Makongo
      • Mbweni
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Elimu
    • Afya
    • Maji na Usafishaji
    • Ujasiriamali na utoaji wa mikopo
    • Ushauri katika Kilimo
    • Elimu ya ufugaji mifugo na nyuki
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
  • Madiwani
    • Baraza la madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Vipeperushi
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

KINONDONI YAKABIDHIWA HATI YA MANUNUZI YA JENGO LILILOKUWA KITUO CHA KULELEA WATOTO YATIMA LA DOGODOGO CENTRE KIGOGO ILIYOGHARIMU TAKRIBAN TSH MIL 400

Posted on: December 14th, 2017

 Manispaa ya Kinondoni imekabidhiwa hati ya manunuzi ya jengo la kilichokuwa kituo cha kulelea watoto yatima (Dogodogo Centre) yenye thamani ya takribani shilingi milioni 400, kwa lengo la kubadilisha matumizi na kuwa kituo cha Afya. 

 Hati hiyo imekabidhiwa leo kwa Mstahiki Meya Manispaa ya Kinondoni Mh Benjamin Sitta ikishuhudiwa na kamati ya Fedha na Uongozi, pamoja na wananchi, hafla iliyofanyika katika Kata ya Kigogo, eneo lililopo jengo hilo. 

 Akipokea hati hiyo Meya Sitta amesema ununuzi wa jengo hilo ni katika kutekeleza mkakati wa Manispaa wa kuhakikisha huduma za Afya zinaboreshwa kwa kiwango kikubwa na kuhakikisha wananchi wanapatiwa huduma bila usumbufu wowote, kwani Serikali ya awamu ya tano ni Serikali ya viwanda hivyo inahitaji kujengwa na wananchi wenye Afya bora. 

 Ameongeza kuwa azma ya Manispaa ni kuhakikisha inaondokana na msongamano wa wagonjwa kwani hapo awali zahanati ya kigogo ilikuwa inapokea idadi kubwa ya wagonjwa ikilinganishwa na uwezo wa miundombinu iliyopo, kadhalika kuleta usumbufu usio wa lazima. 

 Naye Mganga Mkuu wa Manispaa hiyo Dkt Festo Dugange amesema kuwa Manispaa ya Kinondoni imejipanga kikamilifu kuboresha miundombinu katika sekta ya Afya kwa wakazi wake, ili waweze kupatiwa matibabu yanayokidhi viwango kwa wakati na ubora unaostahili. 

 Akiongea mara baada ya kukabidhi hati hiyo, mratibu wa kituo cha Dogodogo centre Bw. Sabas Massawe amesema wamefarijika kukabidhi jengo hilo kwa Manispaa ya Kinondoni kwani wanaamini huduma za Afya zitakazotolewa hapo zitakuwa msaada mkubwa kwa wananchi. 

 Imetolewa na
 Kitengo cha Habari na Uhusiano
 Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • TANGAZO KUHUSU VIBANDA VYA MWENGE February 22, 2021
  • TAARIFA KUHUSIANA NA WASTAAFU WANAOLIPWA NA HAZINA February 18, 2021
  • TANGAZO KUHUSU WAMILIKI WA KUMBI ZA BURUDANI, SHEREHE NA BAA January 22, 2021
  • HAWA HAPA WADAIWA SUGU WA LESENI ZA BIASHARA MANISPAA YA KINONDONI December 04, 2020
  • Tazama zote

Habari mpya

  • WATENDAJI WA KATA NA MITAA KINONDONI TIMIZENI WAJIBU WENU

    April 08, 2021
  • ZIARA YA KATA KWA KATA WILAYA YA KINONDONI YAANZA LEO

    April 01, 2021
  • MSTAHIKI MEYA MANISPAA YA KINONDONI MHE. SONGORO MNYONGE AKIFAFANUA JAMBO WAKATI WA BARAZA LA MADIWANI

    March 17, 2021
  • UWASILISHWAJI WA TAARIFA ZA KAMATI ZA KUDUMU-BARAZA LA MADIWANI.

    March 17, 2021
  • Tazama zote

Picha Jongefu

DCChongolo akemea vikali wakandarasi wazembe
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ilala Municipal website
  • Ubungo Municipal Council
  • Kigamboni Municipal
  • Temeke Municipal

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • eGoverment Agency
  • Manispaa ya Kinondoni yaongoza katika Makusanyo kufikia Dec.12,2017, 2017.
  • TUME YA UTUMISHI.Tangazo la nafasi za Kazi.

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Dar es salaam, Tanzania

    Postal Address: P.O.BOX 31902 ,2Morogoro Road

    Namba za simu: +255 22 2170173

    Namba ya simu :

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Service

Hatimiliki