• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya Utumishi
      • Afya na Usafishaji
      • Mipangomiji na Maendeleo ya Makazi
      • Kilimo na Mifugo
      • Elimu Sekondari
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Tehama
    • Kata
      • Kinondoni
      • Magomeni
      • Makumbusho
      • Mwananyamala
      • Kijitonyama
      • Wazo
      • Bunju
      • Mbezi juu
      • Ndugumbi
      • Msasani
      • Kawe
      • Mzimuni
      • Mabwepande
      • Tandale
      • Kigogo
      • Mikocheni
      • Hananasif
      • Kunduchi
      • Makongo
      • Mbweni
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Elimu
    • Afya
    • Maji na Usafishaji
    • Ujasiriamali na utoaji wa mikopo
    • Ushauri katika Kilimo
    • Elimu ya ufugaji mifugo na nyuki
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
  • Madiwani
    • Baraza la madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Vipeperushi
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

"DC HAPI ATOA MIFUKO 100 YA CEMENT, NA BATI 50 KWA AJILI YA UJENZI WA CHOO ENEO LA SOKO KIGOGO.

Posted on: January 6th, 2018


 NI ENEO LENYE EKARI 4.9 LILILOKUWA DAMPO YA ZAMANI LITAKALOJENGWA SOKO LA KISASA KWA AJILI YA WAFANYABIASHARA WA SOKO LA MABIBO KUHAMIA NA KUFANYA BIASHARA ZAO. 

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mh. Alli Hapi ametoa mifuko 100 ya cement na Bati 50 kwa ajili ya ujenzi wa choo eneo la kigogo kitakachotumiwa na wafanyabiashara watakaohamia kutoka mabibo na kufanya biashara zao katika eneo hilo. 

 Ahadi hiyo ameitoa Leo alipokuwa katika mkutano wa hadhara kati yake na wafanyabisahara wa mabibo  pamoja na kigogo uliofanyika katika eneo la iliyokuwa kigogo Dampo Manispaa ya Kinondoni. 

 Amesema eneo hilo kuwa soko ni kufuatia maombi ya wafanyabiashara wa soko la mabibo kuomba kupatiwa eneo la kufanya biashara baada ya kupata changamoto ya eneo walilokuwepo awali. 

 Ameongeza kuwa lengo la Serikali ni kuleta Maendeleo na kwa kugeuza eneo hilo kuwa soko ni fursa itakayoleta neema si tu kwa wananchi wa kata ya kigogo, bali kwa wananchi wa Wilaya ya Kinondoni. 

 "Tumepokea maombi ya wafanyabiashara wa soko la mabibo, kutaka kufanya biashara eneo la kigogo , maombi yenu tumeyapokea, na kwasababu sisi tunafanya kazi kwa niaba ya Rais wetu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli, tunaendeleza falsafa yake ya kuwaletea wanachi maendeleo, tumeyakubali maombi yenu ya kufanya biashara eneo la kigogo. "Amebainisha Hapi. 

 Naye Diwani wa kata hiyo, ambaye pia ni Naibu Meya wa Manispaa ya Kinondoni Mh. Manyama Mangalu amesema fursa hiyo ni ya neema katika kata yake na Manispaa kwa ujumla, kwani pamoja na kufanya biashara itasaidia kwa kiasi kikubwa kukuza uchumi kwa wakazi wake wa kigogo pamoja na kuiingizia Halmashauri Mapato. 

 Katika hatua nyingine DC Hapi ameitaka Manispaa hiyo kuanza kuweka mpango mkakati wa kuboresha eneo hilo  kwa misingi ya kuwa soko la kisasa, ikiwa ni pamoja na kuweka mipaka.

 Aidha ameitaka Manispaa kuhakikisha kazi ya mpango wa kujenga choo inaanza mara moja ikienda sambamba na ujenzi wa kibanda cha mlinzi. 

 Imetolewa na
 Kitengo cha Uhusiano na Habari.
 Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • TANGAZO KUHUSU VIBANDA VYA MWENGE February 22, 2021
  • TAARIFA KUHUSIANA NA WASTAAFU WANAOLIPWA NA HAZINA February 18, 2021
  • TANGAZO KUHUSU WAMILIKI WA KUMBI ZA BURUDANI, SHEREHE NA BAA January 22, 2021
  • HAWA HAPA WADAIWA SUGU WA LESENI ZA BIASHARA MANISPAA YA KINONDONI December 04, 2020
  • Tazama zote

Habari mpya

  • WATENDAJI WA KATA NA MITAA KINONDONI TIMIZENI WAJIBU WENU

    April 08, 2021
  • ZIARA YA KATA KWA KATA WILAYA YA KINONDONI YAANZA LEO

    April 01, 2021
  • MSTAHIKI MEYA MANISPAA YA KINONDONI MHE. SONGORO MNYONGE AKIFAFANUA JAMBO WAKATI WA BARAZA LA MADIWANI

    March 17, 2021
  • UWASILISHWAJI WA TAARIFA ZA KAMATI ZA KUDUMU-BARAZA LA MADIWANI.

    March 17, 2021
  • Tazama zote

Picha Jongefu

DCChongolo akemea vikali wakandarasi wazembe
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ilala Municipal website
  • Ubungo Municipal Council
  • Kigamboni Municipal
  • Temeke Municipal

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • eGoverment Agency
  • Manispaa ya Kinondoni yaongoza katika Makusanyo kufikia Dec.12,2017, 2017.
  • TUME YA UTUMISHI.Tangazo la nafasi za Kazi.

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Dar es salaam, Tanzania

    Postal Address: P.O.BOX 31902 ,2Morogoro Road

    Namba za simu: +255 22 2170173

    Namba ya simu :

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Service

Hatimiliki