• Malalamiko |
    • Anuani zetu |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Municipal Profile
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources
      • AFYA NA USAFISHAJI
      • Urban planning and Land Development
      • KILIMO NA MIFUGO
      • Secondary Education
      • Pre and Primary Education
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Community Development
    • Vitengo
      • sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Tehama
    • Kata
      • Kinondoni
      • Magomeni
      • Makumbusho
      • Mwananyamala
      • Kijitonyama
      • Wazo
      • Bunju
      • Mbezi juu
      • Ndugumbi
      • Msasani
      • Kawe
      • Mzimuni
      • Mabwepande
      • Tandale
      • Kigogo
      • Mikocheni
      • Hananasif
      • Kunduchi
      • Makongo
      • Mbweni
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Education
    • Afya
    • Maji naUsafishaji
    • entrepreneur and Soft Loan
    • Agricultural Consultancy
    • livestock keeping advice
    • Tax collection Centers
  • Madiwani
    • Baraza la madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyomalizika
  • Machapisho
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
    • Vipeperushi
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha jongefu

Mwananyamala

KATA YA MWANANYAMALA.

Kata ya Mwananyamala ilianza mnamo mwaka 1999, na ni Kata ambayo imepakana na Kata ya Kinondoni, Hanansif, Magomeni, na Mikocheni.

Jina la Mwananyamala limetokana na Lugha ya Kizaramo linalomaanisha "MTOTO NYAMAZA"

MITAA INAYOUNDA KATA HII.

Kata hii inaundwa na Jumla ya Mitaa saba kama ifuatavyo:-

1.    Mtaa wa Kambangwa

2.    Mtaa wa Kopa.

3.    Mtaa  wa Misisiri A.

4.    Mtaa wa Misisiri B.

5.    Mtaa wa Msolomoni.

6.    Mtaa wa Bwawani.

7.    Mtaa wa Mwinjuma.

UONGOZI WA KATA.

Diwani wa Kata ya Mwananyamala ni  Mh.Songoro Mnyonge.

Diwani  wa Viti Maalumu ni Rose Moshi.

Uongozi wa Kata ya Mwananyamala umekamilika vizuri na wanashirikiana pamoja na wenyeviti wa Mitaa katika kuleta Maendeleo.

MIRADI KATA INAYOJIVUNIA.

•    Mradi wa Jengo la Bima ya Afya  Mwananyamala hospital-VIP WARD.

•    Mradi wa kuboresha jengo la  Mochwari.

•    Mradi wa Mfereji wa maji ya mvua unaoanzia Mwananyamala "A” hadi Komakoma.

•    Mradi wa ujenzi wa Madarasa ya shule ya Sekondari Kambangwa.

HALI YA ELIMU.

Kata ya Mwananyamala ina taasisi mbalimbali zinazotoa elimu zikiwemo shule za awali, Msingi na Sekondari. Shule za Msingi za Serikali ni nne nazo ni:-

•    Shule ya  Msingi Mwongozo.

•    Shule yaMsingi Kinondoni.

•    Shule yaMsingi Msisiri B

•    Shule ya Msingi  Msisiri.

SHULE YA SEKONDARI YA SERIKALI.

Shule ya Sekondari  Kambangwa.

HALI YA AFYA KATIKA KATA.

Hali ya Afya na Usafi inaridhisha  katika  Kata hii, na ni kutokana na vikundi vya  uzoaji taka ambavyo vinazoa taka  katika  Mitaa iliyopo katika  Kata ya Mwananyamala.

Matangazo

  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI TAREHE 14/08/2019. August 13, 2019
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI SIKU YA JUMATANO TAREHE 22/05/2019. May 20, 2019
  • TAARIFA KWA UMMA October 16, 2019
  • TANGAZO October 16, 2019
  • Tazama zote

Habari mpya

  • BARAZA LA MADIWANI KINONDONI LAPITISHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    January 07, 2021
  • NI KINONDONI TENA UFAULU WA MATOKEO YA DARASA LA SABA 2020 MKOA WA DAR ES SALAAM

    December 24, 2020
  • NAIBU WAZIRI-OFISI YA WAZIRI MKUU ARIDHISHWA NA NAMNA KINONDONI INAVYOWEZESHA WANANCHI KIUCHUMI

    December 22, 2020
  • HOSPITALI YA SANITAS YAPEWA SIKU SABA KUKAMILISHA MALIMBIKIZO YA MISHAHARA YA WATUMISHI WAKE

    December 22, 2020
  • Tazama zote

Picha Jongefu

TAMISEMI YAIPOGEZA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ilala Municipal website
  • Ubungo Municipal Council
  • Kigamboni Municipal
  • Temeke Municipal

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • eGoverment Agency
  • Manispaa ya Kinondoni yaongoza katika Makusanyo kufikia Dec.12,2017, 2017.
  • TUME YA UTUMISHI.Tangazo la nafasi za Kazi.

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Anuani zetu

    Dar es salaam, Tanzania

    Postal Address: P.O.BOX 31902 ,2Morogoro Road

    Namba za simu: +255 22 2170173

    Namba ya simu :

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Service

Hatimiliki