• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya Utumishi
      • Afya na Usafishaji
      • Mipangomiji na Maendeleo ya Makazi
      • Kilimo na Mifugo
      • Elimu Sekondari
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Tehama
    • Kata
      • Kinondoni
      • Magomeni
      • Makumbusho
      • Mwananyamala
      • Kijitonyama
      • Wazo
      • Bunju
      • Mbezi juu
      • Ndugumbi
      • Msasani
      • Kawe
      • Mzimuni
      • Mabwepande
      • Tandale
      • Kigogo
      • Mikocheni
      • Hananasif
      • Kunduchi
      • Makongo
      • Mbweni
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Elimu
    • Afya
    • Maji na Usafishaji
    • Ujasiriamali na utoaji wa mikopo
    • Ushauri katika Kilimo
    • Elimu ya ufugaji mifugo na nyuki
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
  • Madiwani
    • Baraza la madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Vipeperushi
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

Kijitonyama

KATA YA KIJITONYAMA.

Kata ya Kijitonyama ilianza mwaka 2000, na Asili ya Jina lake ni mto ambao ulikua ukitumika kuoshea nyama baada ya kuchinjwa na mto huo ulikua umezungukwa na wanyama mbalimbali na hapo ndipo lilipotokea jina la  KIJITO CHA WANYAMA na hatimae KIJITONYAMA.

IDADI YA MITAA

Kata inajumla ya Mitaa nane kama ifuatavyo:-

1.    Mtaa wa Mpakani A

2.    Mtaa wa Mpakani B

3.    Mtaa wa Alimaua A

4.    Mtaa wa Alimaua B

5.    Mtaa wa Kijitonyama

6.    Mtaa wa Mwenge

7.    Mtaa wa Nzasa.

8.    Mtaa wa Bwawani.

Diwani wa Kata hii anaitwa  Juma UloleUlole.

HALI YA ELIMU.

Kata inajumla ya shule tano za Msingi na moja ya Sekondari  ambazo zote ni za Serikali, na kiwango cha ufaulu wa wanafunzi katika shule zote hizo ni cha kuridhisha.

HALI YA AFYA.

Kata inajumla ya zahanati mbili za Serikali ambazo hutoa huduma kwa wakazi wa Mitaa yote Nane.Kwa Ujumla hali ya Afya hasa upatikanaji wa Huduma za Afya ni mzuri, kwani pamoja na vituo hivyo viwili bado Kata iko jirani kabisa na Hospital ya Sinza Palestina pamoja na Hospitali  ya Mwananyamala ambapo wananchi wanaweza kuonana na madaktari bingwa na kupatiwa huduma wanayostahili.

MIUNDOMBINU  YA  BARABARA NA MIFEREJI.

80% ya barabara za Kata ya Kijitonyama ni za vumbi.

HALIYA  USAFI WA MAZINGIRA.

Kata inao utaratibu mzuri wa kudhibiti taka ngumu  zinazozalishwa majumbani pamoja na maeneo ya biashara, ambapo Katika Kila mtaa Kunamkandarasi  anaezoa taka na kuzifikisha dampo.

MAHUSIANO NA WADAU MBALIMBALI.

Wakazi wa Kijitonyama kwa ujumla wao wamekuwa wakitoa ushirikiano mkubwa katika kuchangia shughuli mbalimbali za maendeleo.

HALI YA MAENDELEO YA WATU NA MAKAZI.

Hali ya maendeleo ya watu na makazi ni nzuri, na hii imechangiwa na kuwepo na makampuni  pamoja na taasisi, hali iliyoongeza mwingiliano wa watu na biashara kukua  zaidi.



Matangazo

  • TANGAZO KUHUSU VIBANDA VYA MWENGE February 22, 2021
  • TAARIFA KUHUSIANA NA WASTAAFU WANAOLIPWA NA HAZINA February 18, 2021
  • TANGAZO KUHUSU WAMILIKI WA KUMBI ZA BURUDANI, SHEREHE NA BAA January 22, 2021
  • HAWA HAPA WADAIWA SUGU WA LESENI ZA BIASHARA MANISPAA YA KINONDONI December 04, 2020
  • Tazama zote

Habari mpya

  • WATENDAJI WA KATA NA MITAA KINONDONI TIMIZENI WAJIBU WENU

    April 08, 2021
  • ZIARA YA KATA KWA KATA WILAYA YA KINONDONI YAANZA LEO

    April 01, 2021
  • MSTAHIKI MEYA MANISPAA YA KINONDONI MHE. SONGORO MNYONGE AKIFAFANUA JAMBO WAKATI WA BARAZA LA MADIWANI

    March 17, 2021
  • UWASILISHWAJI WA TAARIFA ZA KAMATI ZA KUDUMU-BARAZA LA MADIWANI.

    March 17, 2021
  • Tazama zote

Picha Jongefu

DCChongolo akemea vikali wakandarasi wazembe
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ilala Municipal website
  • Ubungo Municipal Council
  • Kigamboni Municipal
  • Temeke Municipal

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • eGoverment Agency
  • Manispaa ya Kinondoni yaongoza katika Makusanyo kufikia Dec.12,2017, 2017.
  • TUME YA UTUMISHI.Tangazo la nafasi za Kazi.

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Dar es salaam, Tanzania

    Postal Address: P.O.BOX 31902 ,2Morogoro Road

    Namba za simu: +255 22 2170173

    Namba ya simu :

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Service

Hatimiliki