• Malalamiko |
    • Anuani zetu |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Municipal Profile
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources
      • AFYA NA USAFISHAJI
      • Urban planning and Land Development
      • KILIMO NA MIFUGO
      • Secondary Education
      • Pre and Primary Education
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Community Development
    • Vitengo
      • sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Tehama
    • Kata
      • Kinondoni
      • Magomeni
      • Makumbusho
      • Mwananyamala
      • Kijitonyama
      • Wazo
      • Bunju
      • Mbezi juu
      • Ndugumbi
      • Msasani
      • Kawe
      • Mzimuni
      • Mabwepande
      • Tandale
      • Kigogo
      • Mikocheni
      • Hananasif
      • Kunduchi
      • Makongo
      • Mbweni
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Education
    • Afya
    • Maji naUsafishaji
    • entrepreneur and Soft Loan
    • Agricultural Consultancy
    • livestock keeping advice
    • Tax collection Centers
  • Madiwani
    • Baraza la madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyomalizika
  • Machapisho
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
    • Vipeperushi
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha jongefu

Bunju

KATA YA BUNJU.

Kata ya Bunju ni miongoni mwa Kata kongwe ndani ya Manispaa ya Kinondoni. Jengo la ofisi ya Kata hii lilizinduliwa tarehe 29/06/2001 na kiongozi wa mbio za Mwenge Kitaifa wa Mwaka huo ambaye ni Ndg Fatma Juma Shomari.

IDADI YA MITAA.

Kata ya Bunju inajumla ya Mitaa sita kama ifuatavyo:-

1.    Mtaa waBasihaya.

2.    Mtaa wa Boko,

3.    Mtaa wa Dovya

4.    Mtaa wa Kilungule

5.    Mtaa wa Mkoani

6.    Mtaa wa Bunju A.

Diwani wa Kata hii ya Bunju ni Kheri Nassor Missinga.

HALI YA ELIMU.

Hali ya Elimu katika Kata ni ya kuridhisha na wanafunzi wake hujitahidi kufikia lengo la ufaulu kwa asilimia zinazotakiwa. Kata hii inazo shule za Msingi na Sekondari ambazo ni za Serikali.

SHULE ZA MSINGI ZA SERIKALI.

Kata ya Bunju inazo shule nne za Msingi za Serikali kama zifuatazo:-

•    Shule ya Msingi Boko.

•    Shule ya Msingi Mtambani

•    Shule ya Msingi Boko NHC

•    Shule ya Msingi Bunju A.

SHULE ZA SEKONDARI ZA SERIKALI.

Kata hii ya Bunju inazo pia shule mbili za Sekondari za Serikali kama ifuatavyo:-

•    Shule ya Sekondari Boko

•    Shule ya Sekondari Bunju.

HALI YA AFYA.

Hali ya Afya ya Kata ya Bunju ni ya Kuridhisha. Kata hii inazo zahanati mbili ambazo ni:-

•    Boko Dispensary inayohudumia wakazi wa Mtaa wa Boko, Basihaya na maeneo ya Jirani.

•    Bunju Dispensary inayohudumia maeneo yote yanayozunguka Bunju na Vitongoji vyake.

HALI YA MIUNDOMBINU YA BARABARA NA MIFEREJI.

Kata ya Bunju inazungukwa na barabara za lami nne ambazo ni Barabara ya Boko chama, kwenda ununio na kutokea Kunduchi ambayo pia inamifereji ya maji ya maji ya mvua, pia kuna barabara ya njia ya panda mbweni- Kwenda malindi Mbweni na ambayo pia inamifereji  na barabara nyingine kuanzia kilungule kwenda Mbweni . Lakini pia Kata ya Bunju inapitiwa na barabara kubwa ya Bagamoyo kwa Mitaa yote sita.

HALI YA USAFI NA MAZINGIRA.

Hali ya usafi wa Kata ya Bunju ni wa kuridhisha, kwani Mitaa yote sita inayo wakandarasi wanaozoa taka na kusafirisha kwenda kutupa.

MAHUSIANO NA WADAU.

Katika Kata ya Bunju, mdau Mkubwa wa Maendeleo ni kiwanda cha Cement cha Wazo ambacho mara kadhaa kimekuwa kikisaidia maendeleo katika Mitaa ya Basihaya na Boko hasa katika kusaidia vifusi vya barabara , vyandarua na Mazingira. Wapo pia wadau wadogo wadogo wanaosaidia katika Kata.

MIRADI YA KUJIVUNIA.

Kata ya Bunju inajivunia hasa katika miradi ya Elimu kwani pamoja na kuwa na shule nne za Msingi na Shule mbili za Sekondari bado imeanzisha ujenzi mpya wa shule ya Msingi katika Mtaa wa Mkoani.

HALI YA MAENDELEO YA WATU NA MAKAZI.

Hali ya maendeleo ya watu na makazi inakua kwa Kasi kwa kuwa watu wengi wamejenga nyumba za Kisasa hasa katika eneo la mradi wa viwanja 2000(Bunju Beach),na eneo la Boko beach ambako kuna miundombinu yote ya mipangomiji.

Pia katika maeneo yasiyopimwa ujenzi unafanyika kwa kasi.

Matangazo

  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI TAREHE 14/08/2019. August 13, 2019
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI SIKU YA JUMATANO TAREHE 22/05/2019. May 20, 2019
  • TAARIFA KWA UMMA October 16, 2019
  • TANGAZO October 16, 2019
  • Tazama zote

Habari mpya

  • TANGAZO KUHUSU VIBANDA VYA MWENGE

    February 22, 2021
  • KINONDONI YAENDESHA MAFUNZO YA USINDIKAJI WA MBOGAMBOGA NA MATUNDA

    February 19, 2021
  • TAARIFA KUHUSIANA NA WASTAAFU WANAOLIPWA NA HAZINA

    February 18, 2021
  • TAARIFA KWA UMMA-BARAZA LA MADIWANI

    February 12, 2021
  • Tazama zote

Picha Jongefu

TAMISEMI YAIPOGEZA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ilala Municipal website
  • Ubungo Municipal Council
  • Kigamboni Municipal
  • Temeke Municipal

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • eGoverment Agency
  • Manispaa ya Kinondoni yaongoza katika Makusanyo kufikia Dec.12,2017, 2017.
  • TUME YA UTUMISHI.Tangazo la nafasi za Kazi.

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Anuani zetu

    Dar es salaam, Tanzania

    Postal Address: P.O.BOX 31902 ,2Morogoro Road

    Namba za simu: +255 22 2170173

    Namba ya simu :

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Service

Hatimiliki