• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya Utumishi
      • Afya na Usafishaji
      • Mipangomiji na Maendeleo ya Makazi
      • Kilimo na Mifugo
      • Elimu Sekondari
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Tehama
    • Kata
      • Kinondoni
      • Magomeni
      • Makumbusho
      • Mwananyamala
      • Kijitonyama
      • Wazo
      • Bunju
      • Mbezi juu
      • Ndugumbi
      • Msasani
      • Kawe
      • Mzimuni
      • Mabwepande
      • Tandale
      • Kigogo
      • Mikocheni
      • Hananasif
      • Kunduchi
      • Makongo
      • Mbweni
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Elimu
    • Afya
    • Maji na Usafishaji
    • Ujasiriamali na utoaji wa mikopo
    • Ushauri katika Kilimo
    • Elimu ya ufugaji mifugo na nyuki
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
  • Madiwani
    • Baraza la madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Vipeperushi
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

ZOEZI LA UGAWAJI WA HATI ZA VIWANJA KWA WANANCHI WA NAKASANGWE KUANZA RASMI

Posted on: June 17th, 2020

Zoezi hilo la ugawaji wa hati za viwanja kwa  wakaazi wa maeneo ya Nakasangwe ni kufuatia  ukamilishaji wa upimaji viwanja 9741vya wananchi hao walioendeleza maeneo kiholela hali iliyopelekea tatizo sugu la uvamizi.

Zoezi hilo limetangazwa rasmi  na  Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe Daniel Chongolo alipokuwa akiongea na wananchi wa Nakasangwe, katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo viwanja vya shule ya msingi Nakasangwe.

Amesema kwa kuwamilikisha Wananchi maeneo yao kisheria  kutapunguza na kumaliza kabisa migogoro ya ardhi iliyokuwa ikiwakabili siku za nyuma.

"Ninafahamu Katika kata hizi za pembezoni hususani Mabwepande kumekuwa na watu wachache wanaojishughulisha na uvamizi wa maeneo na kuwauzia Wananchi hali inayopelekea migogoro, Nipende tuu kuwakumbusha kuwa magereza zetu nchini zinahitaji nguvu Kazi, serikali haitokubali kuwaacha watu Hawa waendelee kusababisha migogoro kwenye maeneo yetu."

Naye mkuu wa Idara ya Ardhi na Mipango Miji  Manispaa ya Kinondoni Ndg. Maduhu Kazi amesema  ugawaji huo wa hati ni kufuatia utekelezaji wa  maagizo ya Serikali yanayozitaka Manispaa kupima meneo yote yalioendelezwa kiholela.

Amesema viwanja vilivyopimwa ni 9741 ambapo kulikuwa na makundi ya    wenye migogoro na wasio na migogoro na kuwataka wanachi kufahamu kuwa ugawaji wa hati unaoanza kesho utahusisha maeneo ambayo hayakuwa na changamoto za migogoro.

Katika hatua nyingine, Mhe.Chongolo ameagiza wataalamu wa Manispaa kuanza kupima mtaa wa Mbopo  uliopo Kata ya Mabwepande ndani ya siku 14, na kuwataarifu  wanachi  wanaosababisha migogoro kuwa hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.

Zoezi la upimaji wa viwanja ni endelevu na litafanyika kwa awamu likihusisha maeneo yote yaliyoendelezwa kiholela.

Imeandaliwa na

Kitengo Cha habari na uhusiano

Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • TANGAZO KUHUSU VIBANDA VYA MWENGE February 22, 2021
  • TAARIFA KUHUSIANA NA WASTAAFU WANAOLIPWA NA HAZINA February 18, 2021
  • TANGAZO KUHUSU WAMILIKI WA KUMBI ZA BURUDANI, SHEREHE NA BAA January 22, 2021
  • HAWA HAPA WADAIWA SUGU WA LESENI ZA BIASHARA MANISPAA YA KINONDONI December 04, 2020
  • Tazama zote

Habari mpya

  • WATENDAJI WA KATA NA MITAA KINONDONI TIMIZENI WAJIBU WENU

    April 08, 2021
  • ZIARA YA KATA KWA KATA WILAYA YA KINONDONI YAANZA LEO

    April 01, 2021
  • MSTAHIKI MEYA MANISPAA YA KINONDONI MHE. SONGORO MNYONGE AKIFAFANUA JAMBO WAKATI WA BARAZA LA MADIWANI

    March 17, 2021
  • UWASILISHWAJI WA TAARIFA ZA KAMATI ZA KUDUMU-BARAZA LA MADIWANI.

    March 17, 2021
  • Tazama zote

Picha Jongefu

DCChongolo akemea vikali wakandarasi wazembe
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ilala Municipal website
  • Ubungo Municipal Council
  • Kigamboni Municipal
  • Temeke Municipal

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • eGoverment Agency
  • Manispaa ya Kinondoni yaongoza katika Makusanyo kufikia Dec.12,2017, 2017.
  • TUME YA UTUMISHI.Tangazo la nafasi za Kazi.

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Dar es salaam, Tanzania

    Postal Address: P.O.BOX 31902 ,2Morogoro Road

    Namba za simu: +255 22 2170173

    Namba ya simu :

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Service

Hatimiliki