• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya Utumishi
      • Afya na Usafishaji
      • Mipangomiji na Maendeleo ya Makazi
      • Kilimo na Mifugo
      • Elimu Sekondari
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Tehama
    • Kata
      • Kinondoni
      • Magomeni
      • Makumbusho
      • Mwananyamala
      • Kijitonyama
      • Wazo
      • Bunju
      • Mbezi juu
      • Ndugumbi
      • Msasani
      • Kawe
      • Mzimuni
      • Mabwepande
      • Tandale
      • Kigogo
      • Mikocheni
      • Hananasif
      • Kunduchi
      • Makongo
      • Mbweni
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Elimu
    • Afya
    • Maji na Usafishaji
    • Ujasiriamali na utoaji wa mikopo
    • Ushauri katika Kilimo
    • Elimu ya ufugaji mifugo na nyuki
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
  • Madiwani
    • Baraza la madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Vipeperushi
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

KINONDONI YAPOKEA VIFAA VYA KUWAKINGA WANAFUNZI DHIDI YA MAAMBUKIZI YA VIRUS VYA CORONA

Posted on: July 9th, 2020

Vifaa hivyo vimepokelewa toka shirika la kulinda watoto la save the children kwa lengo la kuhakikisha wanafunzi wanakuwa salama kwa wakati huu ambao wamerudi shuleni kuendelea na masomo yao.

Akiongea wakati wa kupokea vifaa hivyo kwa niaba ya Mkurugenzi wa Manispa, Mganga Mkuu wa manispa Dkt Samwel Laiza amelishukuru shirika la save the children kwa kuwezesha kupatikana kwa vifaa hivyo kwani vifaa vilivyopo sasa havitoshelezi mahitaji halisi ya wanafunzi.

"Tunawashukuru Ndugu zetu hawa sababu wameona Kuna umuhimu wa kuwakinga watoto wetu kwani corona Bado ipo japo imepungua Sana, lakini Kama jamii Bado inatakiwa kuchukua tahadhari zinazoshauriwa na wataalamu wetu"

Amesema Dkt Laiza

Ameongeza pia kinondoni Ina mkakati wa kufanya zoezi la unawaji mikono kuwa endelevu hata baada ya kuisha kwa mlipuko wa ugonjwa wa corona kwani tafiti zinaonesha kwa kunawa mikono kunapunguza asilimia 60 ya magonjwa yanayoambukizwa kwa njia ya mfumo wa chakula.

Akiongea wakati wa kukabidhi vifaa hivyo meneja wa uchechemuzi na kampeni wa shirika la save the children Bi Nuria Mshare amesema kuwa wao kama shirika Wana wajibu wa kuhakikisha watoto wanakuwa salama , hivyo wameguswa kuhakikisha watoto wa Shule wanakuwa salama wakiwa shuleni kwa kuwapatia vifaa vitakavyowawezesha kutakasa mikono Yao wakati wote watakaokuwa wanaendelea na masomo.

Amesema shirika liko begakwabega na serikali kuhakikisha mapambano dhidi ya virusi vya corona kwa wanafunzi yanafanikwa na wanafunzi wanaendelea na masomo Yao bila ya kuwa na usumbufu wowote.

Naye mwalimu mkuu wa Shule ya secondari ya  Kigogo Mwl Ester Idabu amesema awali walikuwa na changamoto ya vifaa vya kunawia ambapo walikua wanatumia ndoo za kawaida hali iliyowalazimu kujaza maji kila baada ya muda fulani lakini kwasasa baada ya kupata matanki hayo makubwa yatapunguza isumbufu huo.

Afisa elimu Msingi anaeshughulika na masuala ya afyaeza wanafunzi Bi Martha Kusaga amesema vifaa hivyo vitagawiwa kwa shule kumi ambazo ni kisauke ( Msingi na sekondari), Sekondari za Kigogo, mikocheni, Kawe na Bunju pamoja na shule za Msingi za Changanyikeni, Salasala, Mbezi Ndumbwi pamoja na makongo juu.

Vifaa vilivyokabidhiwa ni pamoja na Matanki ya maji 20, Sabuni za kunawia mikono 500, Taulo za kike 1000 na Nguo za ndani 500.

Imeandaliwa na

Kitengo Cha habari na Uhusiano

Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • TANGAZO KUHUSU VIBANDA VYA MWENGE February 22, 2021
  • TAARIFA KUHUSIANA NA WASTAAFU WANAOLIPWA NA HAZINA February 18, 2021
  • TANGAZO KUHUSU WAMILIKI WA KUMBI ZA BURUDANI, SHEREHE NA BAA January 22, 2021
  • HAWA HAPA WADAIWA SUGU WA LESENI ZA BIASHARA MANISPAA YA KINONDONI December 04, 2020
  • Tazama zote

Habari mpya

  • WATENDAJI WA KATA NA MITAA KINONDONI TIMIZENI WAJIBU WENU

    April 08, 2021
  • ZIARA YA KATA KWA KATA WILAYA YA KINONDONI YAANZA LEO

    April 01, 2021
  • MSTAHIKI MEYA MANISPAA YA KINONDONI MHE. SONGORO MNYONGE AKIFAFANUA JAMBO WAKATI WA BARAZA LA MADIWANI

    March 17, 2021
  • UWASILISHWAJI WA TAARIFA ZA KAMATI ZA KUDUMU-BARAZA LA MADIWANI.

    March 17, 2021
  • Tazama zote

Picha Jongefu

DCChongolo akemea vikali wakandarasi wazembe
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ilala Municipal website
  • Ubungo Municipal Council
  • Kigamboni Municipal
  • Temeke Municipal

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • eGoverment Agency
  • Manispaa ya Kinondoni yaongoza katika Makusanyo kufikia Dec.12,2017, 2017.
  • TUME YA UTUMISHI.Tangazo la nafasi za Kazi.

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Dar es salaam, Tanzania

    Postal Address: P.O.BOX 31902 ,2Morogoro Road

    Namba za simu: +255 22 2170173

    Namba ya simu :

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Service

Hatimiliki