• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Fukwe na Visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Utalii
      • Matukio ya Utalii
      • Royal Tour Bus
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu

WATENDAJI WA KATA, MITAA, PAMOJA NA WENYEVITI WA MITAA WAMETAKIWA KUWA WABUNIFU NA WAADILIFU KATIKA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO.

Tarehe iliyowekwa: October 11th, 2017

 Watendaji wa Kata, Mitaa pamoja na Wenyeviti wa Serikali za Mitaa wametakiwa kuwa waadilifu katika utendaji wao ili kuepukana na migogoro isiyoyalazima inayoweza kujitokeza katika utendaji wao wa Kazi. 

 Agizo hilo limetolewa na Mstahiki Meya Manispaa ya Kinondoni Mh Benjamin Sitta alipokuwa akifungua mafunzo ya siku mbili ya Utawala bora yaliyoratibiwa na Mkoa kwa Watendaji wa Kata, Mitaa pamoja na Wenyeviti yaliyofanyika katika ukumbi wa Kingsolomon. 

 Amesema mafunzo haya ni muhimu kwa ngazi hizi za chini kwani yatasaidia kupunguza malalamiko  yanayojitokeza kwa wananchi hasa ikizingatiwa yamekuwa mengi, na hii ni kutokana na kutokuwajibika, kutokufika ofisini kwa wakati, na kutotimiza  majukumu  kwa wakati. 

 "Sasa kunawatendaji wazuri na watendaji wabaya, na nikatoa mfano juzi tumemfukuza Mtendaji mmoja, kwa sababu ya uzembe wa kutotokea kazini na sisi hatuna msamaha katika hilo. "Amesisitiza Meya 

 Amesema lengo  kuu ni kukumbushana, kuelekezana, sheria, miongozo, kanuni na wajibu katika kutekeleza majukumu yao. 

 "kwa hiyo tunachofurahia mafunzo haya ya siku Mbili kwanza yatawakumbusha sheria, kanuni na miongozo, yatawakumbusha wajibu wao, yatawakumbusha kwanini wako pale. "Amesisitiza Sitta. 

 Naye Bi Mary Assey ambaye ni katibu tawala Msaidizi ofisi ya Mkuu wa Mkoa amesema mafunzo haya ni kufuatia Ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam iliyofanyika mwezi Novemba iliyojulikana kwa jina la "Dar Mpya " na kugundua changamoto nyingi zilizojitokeza ni kuhusiana na uelewa mdogo walionao watendaji wetu kwenye maswala ya utawala bora. 

 Amesem lengo kubwa ni kumsaidia Mtendaji wa Kata na Mtaa pamoja na Mwenyekiti kuhakikisha anasimama kwenye nafasi yake katika kutatua kero na migogoro ya wananchi. 

 Amezitaja mada zitakazofundishwa katika mafunzo haya ya siku mbili kuwa ni Maswala ya utawala bora, Ulinzi na usalama, Sheria na taratibu za utendaji katika ngazi ya Kata na Mitaa pamoja na Uhamiaji haramu. 

 Mada nyingine ni Sheria za Mazingira, Usafi wa Mazingira, Sera, Sheria,Kanuni na Miongozo ya Maji pamoja na Usimamizi wa Maswala ya Ardhi. 

 Mafunzo haya yataendeshwa kwa siku Mbili ambapo mwisho wa siku watatakiwa kupimwa kama la kilichofundishwa kimeeleweka na kinaenda kutekelezwa. 

 Imetolewa na
 Kitengo cha Uhusiano
 Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU April 01, 2025
  • TANGAZO March 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 05, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KADA YA AFISA TEHAMA MSAIDIZI ULIOFANYIKA TAREHE 25/03/2024 March 25, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • ZAIDI YA MITI 1200 YAPANDWA KUADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU

    December 09, 2024
  • MAAMBUKIZI UKIMWI YAPUNGUA

    December 01, 2024
  • MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YASHUKA KINONDONI

    November 29, 2024
  • WENYEVITI NA WAJUMBE WAPYA WAPEWA MAELEKEZO YA MAJUKUMU YAO

    November 28, 2024
  • Tazama zote

Picha Jongefu

IFAHAMU KATA YA MZIMUNI, MANISPAA YA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • MAKTABA YA PICHA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • HOTUBA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255222170173

    Simu ya mkononi: +255733241052

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.