• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fukwe na Visiwa
    • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Matukio ya Utalii
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Iliyopangwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Habari
    • Matukio

WANAWAKE NCHINI TANZANIA WAMETAKIWA KUTUMIA FURSA ILI KUSHIRIKI UCHUMI WA VIWANDA.

Tarehe iliyowekwa: August 26th, 2017

Wanawake nchini Tanzania wametakiwa kuhakikisha wanazitumia vema fursa zilizopo ili waweze kujikwamua kiuchumi na kimaendeleo halikadhalika kushiriki katika uchumi wa viwanda.

Rai hiyo imetolewa leo na Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan alipokuwa akihutubia katika hafla ya uzinduzi wa Jukwaa la wanawake wa Mkoa wa Dar es salaam lililodhaminiwa na Benki ya CRDB, katika viwanja vya Posta Kijitonyama.

Amesema lengo la Jukwaa hili ni kuwaunganisha wanawake na fursa za kiuchumi, kibiashara,kimaendeleo pamoja na masoko, sambamba na hilo, liwe jukwaa la kuibua matatizo ya wanawake eneo wanapoishi ili yatatuliwe na mwisho wa siku waweze kupata muda mwingi wa kujenga uchumi.

Ameongeza kuwa ni jukwaa kwa ajili ya kuweka mipango madhubuti kwa wanawake wanaojishughulisha na Kilimo ili waweze kuzalisha bidhaa zitakazotumika katika viwanda.

Amesisitiza kuwa "Ni lazima watanzania tutengeneze soko letu wenyewe, tutumie bidhaa zetu wenyewe, tujitosheleze wenyewe kimtaji, kiuchumi na kimasoko ili tuweze kufikia uchumi wa viwanda "

Naye Mwenyekiti wa Jukwaa la kuwawezesha wanawake wa Dar Es Salaam ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mh Sophia Mjema amesema Jukwaa hili litashuka mpaka ngazi ya Kata, Mitaa, na Tarafa.

Amesema Mkoa wa Dar Es Salaam umejipanga kuhakikisha mgawanyo wa bidhaa na maeneo kwa wanawake wajasirimali unakuwepo ili kuwapatia fursa zaidi za Kibiashara.

Akitoa takwimu za utekelezaji wa Agizo la Makamu wa Rais la uwanzishwaji wa majukwaa ya kuwawezesha wanawake, Katibu wa Baraza la uwezeshaji wa wananchi Kiuchumi Bi. Bang Issa amesema mpaka sasa Mikoa ishirini na tatu (23), Halmashauri mia moja na tano (105),Kata mia mbili thelathini na sita (236),tayari zimeshaanzisha majukwaa ya wanawake yenye lengo la kujenga na kupeana nguvu, kuwawezesha wanawake kushiriki uchumi wa viwanda.

Jukwaa hili la wanawake Mkoa wa Dar Es Salaam ni jukwaa la ishirini na tatu kuzinduliwa leo, lenye kauli mbiu isemayo "Mwanamke tumia Fursa kushiriki uchumi wa Viwanda "

Imetolewa na
Kitengo cha Uhusiano
Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • KUFUTA TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI March 14, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA March 13, 2023
  • TANGAZO KWA WASIOLIPIA VIWANJA BOKO DOVYA (KWA SOMJI) NA SALASALA February 15, 2023
  • MABADILIKO YA SIKU YA MAFUNZO YA WASIMAMIZI WA MAUDHUI, WASIMAMIZI WA TEHAMA NA MAKARANI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 28, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • JAPAN YAIPATIA MSAADA MZIMUNI SEKONDARI

    March 15, 2023
  • VIKUNDI VYAASWA MATUMIZI SAHIHI YA MIKOPO

    February 18, 2023
  • "HAKUNA TIMU KUBWA ZAIDI YA KMC FC"

    February 18, 2023
  • ULINZI NI KIPAUMBELE KINODONI-DC SAAD

    February 12, 2023
  • Tazama zote

Picha Jongefu

VIKUNDI VILIVYOSEPA NA BILIONI 11 VYAKALIWA KOONI MANISPAA YA KINONDONI. REJESHENI...
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TARATIBU ZA KUPATA KIBALI CHA UJENZI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • VITUO VYA KUKUSANYIA MAPATO
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • RATIBA YA MSTAHIKI MEYA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255 22 2170173

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.