• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Fukwe na Visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Utalii
      • Matukio ya Utalii
      • Royal Tour Bus
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu

RC MAKALLA AZINDUA MRADI WA SOKO LA KIGOGO

Tarehe iliyowekwa: November 11th, 2021

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mheshimiwa Amos Makalla leo tarehe 11 Novemba, 2021 amezindua mradi wa soko wenye lengo la kuwawezesha wafanyabiashara wadogo kujikwamua kiuchumi, katika eneo la Kigogo, mradi ambao umetekelezwa na kampuni ya Coca-Cola Kwanza Ltd kama sehemu ya kuchangamana na jamii kwa kurudisha fadhila.

Makalla ameishukuru Kampuni ya Coca-Cola Kwanza kwa kuwezesha mradi huo utakaowawezesha wajasiriamali zaidi ya 100 kufanya biashara zao kwenye eneo rasmi na kuwaasa wafanyabiashara kuchangamkia fursa mbalimbali za biashara katika soko hilo.

Awali Serikali ya Mkoa wa Dar es Salaam iliainisha maeneo ambayo wafanyabiashara wadogo maarufu kwa jina la Machinga wanatakiwa kuondoka kuwa ni kwa wale walio juu ya mifereji na mitaro, kwenye hifadhi za barabara na mbele ya shule za Serikali au taasisi za Serikali.

Maeneo mengine wasiotakiwa kuwepo wafanyabiashara hao ni njia za waenda kwa miguu na wale waliopo mbele ya biashara za maduka ya watu.

“Wafanyabiashara wadogo waliorudi kwenye maeneo waliyotolewa, niwaombe mrudi kwenye maeneo mliopangiwa kufanya biashara zenu, kwa sababu zoezi la kuwapanga ni endelevu kwa mkoa wote wa Dar es Salaam”, ameeleza Makalla.

Kampuni ya Coca-Cola Kwanza imewezesha ujenzi wa soko la kisasa la Kigogo lenye miundombinu bora ili kuwawezesha vijana, wanawake na watu wenye ulemavu kufanya biashara katika eneo rasmi na kuweza kujikwamua kiuchumi.

RC Makalla amesema ataomba Mamlaka husika kuelekeza mabasi ya abiria maarufu Daladala kutumia njia hiyo kama Kituo chao ili kuchangamsha eneo hilo kibiashara.

Hafla hiyo ya kukabidhi na kuzindua mradi wa soko la Kigogo imehushuhudiwa na wajumbe wa Kamati ya Fedha na Uongozi ya Manispaa ya Kinondoni ikiongozwa na Mstahiki Meya wa Manispaa Mheshimiwa Songoro Mnyonge, Menejimenti ya Manispaa ya Kinondoni chini ya Kaimu Mkurugenzi ndugu Shadrack Maximilian, uongozi wa kampuni ya Coca-Cola Kwanza ukiongozwa na Meneja Mtendaji, Unguu Sulay pamoja na wananchi na viongozi mbalimbali wa Kata ya Kigogo.

Matangazo

  • UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU April 01, 2025
  • TANGAZO March 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 05, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KADA YA AFISA TEHAMA MSAIDIZI ULIOFANYIKA TAREHE 25/03/2024 March 25, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • ZAIDI YA MITI 1200 YAPANDWA KUADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU

    December 09, 2024
  • MAAMBUKIZI UKIMWI YAPUNGUA

    December 01, 2024
  • MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YASHUKA KINONDONI

    November 29, 2024
  • WENYEVITI NA WAJUMBE WAPYA WAPEWA MAELEKEZO YA MAJUKUMU YAO

    November 28, 2024
  • Tazama zote

Picha Jongefu

IFAHAMU KATA YA MZIMUNI, MANISPAA YA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • MAKTABA YA PICHA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • HOTUBA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255222170173

    Simu ya mkononi: +255733241052

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.