• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Fukwe na Visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Utalii
      • Matukio ya Utalii
      • Royal Tour Bus
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu

RAS DAR ES SALAAM AAGIZA RUWASA KUCHIMBA HARAKA KISIMA SOKO LA TANDALE

Tarehe iliyowekwa: June 7th, 2024

Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam, Dkt. Toba Nguvila ameagiza Wakala wa Maji na Mazingira Vijijini (RUWASA) kupeleka mashine za kuchimba visima vya maji katika Soko la Tandale kwa haraka ili kuharakisha uzinduzi wa soko hilo hivi karibuni.

Dkt. Nguvila alitoa tamko hilo Juni 07, 2024 alipokuwa kwenye ziara ya kikazi katika soko la kimkakati la Tandale, ambalo linatarajiwa kuzinduliwa hivi karibuni. Ziara hiyo ililenga kukagua maandalizi ya mwisho ya soko hilo na kuhakikisha kuwa miundombinu ya soko hilo ipo tayari kwa ajili ya uzinduzi. "Nahitaji mashine za kuchimba visima ziwepo hapa ifikapo saa kumi na mbili jioni ya leo, na ikifika muda huo nitapita kuhakikisha kama mashine hizo zimefika hapa."

Ziara hiyo, iliwajumuisha maafisa mbalimbali wa serikali, viongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, na wawakilishi wa wafanyabiashara. Dkt. Nguvila alipokelewa na viongozi wa soko na kuanza ziara ya kukagua miundombinu na huduma zitakazotolewa katika soko hilo jipya ikiwemo sehemu za kuhifadhi bidhaa pamoja maeneo ya biashara. Alionyesha kuridhika na maendeleo ya ujenzi na mipango iliyowekwa kuhakikisha soko linafanya kazi kwa ufanisi mara baada ya kuzinduliwa. Akizungumza na waandishi wa habari baada ya ziara hiyo, Dkt. Nguvila alisema,

"Nimefurahishwa sana na kazi nzuri iliyofanyika katika ujenzi wa soko hili la Tandale. Mradi wa soko utatoa manufaa kwa pande zote mbili ikiwemo Wananchi pamoja na Halmashauri ambapo ujenzi wa soko hili la kisasa la ghorofa unatarajiwa kuongeza nafasi za wafanyabiashara wengi wapatao 2055 kufanya biashara zao kwa usalama na unadhifu zaidi. Na pia kwa upande wa Halmashauri soko hili litasaidia Halmashauri kujiongezea mapato yake." Aidha, Dkt. Nguvila alitoa pendekezo la kutumia nishati salama katika mapishi ya vyakula vya biashara vitakavyouzwa ndani ya soko hilo.

"Katika kuunga mkono jitihada za Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan katika kuhimiza matumizi ya nishati salama tunaondoka kwenye matumizi ya kuni na mkaa hivyo tunatarajia soko hili kufungwa mifumo itakayowezesha matumizi ya gesi na hatutarajii kuona mama lishe na baba lishe wanatumia

Matangazo

  • UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU April 01, 2025
  • TANGAZO March 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 05, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KADA YA AFISA TEHAMA MSAIDIZI ULIOFANYIKA TAREHE 25/03/2024 March 25, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • ZAIDI YA MITI 1200 YAPANDWA KUADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU

    December 09, 2024
  • MAAMBUKIZI UKIMWI YAPUNGUA

    December 01, 2024
  • MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YASHUKA KINONDONI

    November 29, 2024
  • WENYEVITI NA WAJUMBE WAPYA WAPEWA MAELEKEZO YA MAJUKUMU YAO

    November 28, 2024
  • Tazama zote

Picha Jongefu

IFAHAMU KATA YA MZIMUNI, MANISPAA YA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • MAKTABA YA PICHA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • HOTUBA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255222170173

    Simu ya mkononi: +255733241052

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.