• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Fukwe na Visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Utalii
      • Matukio ya Utalii
      • Royal Tour Bus
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu

KINONDONI YATEKELEZA, KUELEKEA NANE NANE 2017.

Tarehe iliyowekwa: August 5th, 2017


 ANGALIA NJIWA HAWA! 

 Sekta ya Mifugo Manispaa ya Kinondoni katika maonesho ya Nane nane ya mwaka 2017 imedhamiria kutekeleza vema kauli mbiu ya mwaka huu isemayo "Zalisha kwa tija mazao na bidhaa za Kilimo, mifugo na uvuvi ili kufikia uchumi wa Kati".kwa kuwainua wafugaji. 

 Hii imedhihirika pale ambapo mfugaji, na  mjasiriamali Ndg Mustapha Ismail alipotakiwa kuzungumnzia aina ya Njiwa walioonekana kuwa kivutio cha wengi katika maonesho haya.

 Amesema njiwa hawa wanajulikana kwa jina la Simba na ni kutokana na muonekano wao wa kuwa na manyoya mengi, na asili yake ni Marekani na Uarabuni. 

 Amesema ni ndege wenye faida kubwa na mafanikio katika kuongeza kipato kwa mtu yeyote yule na kwa wakati wowote ule mfano njiwa hawa hutotolewa mayai kuanzia siku ya kumi na nne(14) hadi kumi na tano(15). Yai lake moja ni shilingi 30,000/=na kwa mwaka hutotoa mara mbili mpaka mara tatu.

 Amezitaja faida nyingine kuwa ni njiwa wanaodumu kwa muda mrefu, na wasiowepesi kushambuliwa na maradhi, pia hutumika kama  urembo, na kinyesi chake kama mbolea.

 Ameongeza kuwa ukiwa nao ndani ni ulinzi wa kutosha kutokana na sauti ya tofauti na muonekano wa tofauti wanaoukuwa nao wakati wa hatari, na ni chanzo kikubwa cha kipato  kwani njiwa mmoja huuzwa tsh 700,000/=

 Njiwa hawa aina ya Simba wanalishwa vyakula vya mtama, Choroko, Ngano, Karanga na kunde, na mchanganyo huo wa vyakula unahitaji umakini wa kutosha. 

 Naye Mtaalamu wa Mifugo kutoka Manispaa ya Kinondoni amesema njiwa hawa ni ndege wa asili na ndio maana wanakula vyakula vya asili. 

 Ameongeza kuwa hawana gharama kubwa kwenye ulishaji ukilinganisha na ndege wengine mf Kuku ambao wanakula vyakula vya viwandani ambavyo ni gharama. 

 Njiwa hawa wamekuwa kivutio kikubwa cha watu kutaka kuwaona.

 Ni banda la Kinondoni pekee, utakutana na haya na mengine lukuki kuhusiana na mifugo, kilimo na uvuvi. 

 Imetolewa na
 Kitengo cha Uhusiano
 Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU April 01, 2025
  • TANGAZO March 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 05, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KADA YA AFISA TEHAMA MSAIDIZI ULIOFANYIKA TAREHE 25/03/2024 March 25, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • ZAIDI YA MITI 1200 YAPANDWA KUADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU

    December 09, 2024
  • MAAMBUKIZI UKIMWI YAPUNGUA

    December 01, 2024
  • MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YASHUKA KINONDONI

    November 29, 2024
  • WENYEVITI NA WAJUMBE WAPYA WAPEWA MAELEKEZO YA MAJUKUMU YAO

    November 28, 2024
  • Tazama zote

Picha Jongefu

IFAHAMU KATA YA MZIMUNI, MANISPAA YA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • MAKTABA YA PICHA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • HOTUBA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255222170173

    Simu ya mkononi: +255733241052

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.