• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Fukwe na Visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Utalii
      • Matukio ya Utalii
      • Royal Tour Bus
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu

KINONDONI YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI MIAKA MITANO MFULULIZO

Tarehe iliyowekwa: June 3rd, 2020

Manispaa ya Kinondoni imepongezwa kwa kupata hati safi kwa kipindi cha miaka mitano mfululizo katika  hoja za ukaguzi wa hesabu za Serikali kwa mwaka wa fedha 2014/2015 hadi 2018/2019.

 Pongezi hizo zimetolewa leo na Bi. Mary Assey kwa niaba ya  Katibu Tawala Mkoa wa Dar es salaam wakati uchangiaji mada wa taarifa ya hoja za ukaguzi wa Hesabu za Serikali kwa mwaka 2018/ 2019 iliyowasilishwa na mkaguzi wa hesabu za nje  Manispaa ya Kinondoni.

Amesema  Kinondoni imeonesha uzalendo katika usimamiaji mzuri wa rasilimali za Serikali, hasa matumizi mazuri ya Fedha yanayoenda sambamba na thamani halisi ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo na kuzitaka  Halmashauri nyingine kuiga mfano ya uendeshaji pamoja na usimamizi ili ziweze kuwa na mafanikio makubwa zaidi.

“ Ni wapongeze Kinondoni kwakupata hati safi kwa miaka mitano mfufulizo, hii inaonesha ni kwa kiasi gani Mkurugenzi na timu yako mpomakini kwenye utendaji wenu, hasa usimamizi wa matumizi ya fedha kisera ,utekelezaji wa ilani sambamba na usimamizi mzuri wa miradi, tunazo Halmashauri tano katika mkoa wetu wa Dar es Salaam, lakini Kinondoni mnafanya vizuri, hongereni kwa hilo” amesema Bi. Mary.

Akitoa taarifa hiyo ya ukaguzi wa hesabu kwa mwaka 2018/ 2019, Mkaguzi Mkuu wa hesabu za nje Manispaa ya Kinondoni Ndg.  Eliuther Msombola amesema kuwa ukaguzi huo umefanyika kwa mujibu wa ibara ya 143(2), ya katiba ya Jamuhuri ya Muungano w Tanzania ya mwaka 1977 (iliyorekebishwa mwaka 2005).

Aidha amefafanua kuwa lengo la ukaguzi huo ni kupata uthibitisho wa kuridhia kama taarifa za fedha kwa ujumla wake hazina makosa makubwa yanayotokana na udanganyifu au makosa ya kawaida.

Awali akizungumza kwa niaba ya Madiwani,Mstahiki Meya wa Manispaa hiyo Mhe. Benjamini Sitta amesema kuwa mafanikio ya hati hizo safi zimetokana na usimamizi mahiri wa Mkurugenzi Ndugu. Aron Kagurumjuli pamoja na menejimenti kwani amekuwa mzalendo na kiongozi anayefuata sera na miongozo ya serikali.

Imeandaliwa na

Kitengo cha habari na Uhusiano

Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU April 01, 2025
  • TANGAZO March 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 05, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KADA YA AFISA TEHAMA MSAIDIZI ULIOFANYIKA TAREHE 25/03/2024 March 25, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • ZAIDI YA MITI 1200 YAPANDWA KUADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU

    December 09, 2024
  • MAAMBUKIZI UKIMWI YAPUNGUA

    December 01, 2024
  • MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YASHUKA KINONDONI

    November 29, 2024
  • WENYEVITI NA WAJUMBE WAPYA WAPEWA MAELEKEZO YA MAJUKUMU YAO

    November 28, 2024
  • Tazama zote

Picha Jongefu

IFAHAMU KATA YA MZIMUNI, MANISPAA YA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • MAKTABA YA PICHA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • HOTUBA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255222170173

    Simu ya mkononi: +255733241052

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.