• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fukwe na Visiwa
    • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Matukio ya Utalii
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Iliyopangwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Habari
    • Matukio

KINONDONI IMETOA MKOPO WA SHILINGI BILIONI 2.5 KWA VIKUNDI 115 VYA WAJASIRIAMALI BILA RIBA

Tarehe iliyowekwa: January 31st, 2023

Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni imetoa mkopo zaidi ya shilingi bilioni 2.5 kwa vikundi 115 vya wajasiriamali ili kuwawezesha wananchi wake kujikwamua kiuchumi na kuboresha maisha yao.

Mkopo huo umejumuisha vikundi mbalimbali ikiwemo vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu.

Hayo yamebainishwa hivi karibuni na Katibu Tawala Wilaya ya Kinondoni Bi. Stella Msofe wakati akifungua semina ya siku moja ya mafunzo kwa wajasiriamali hao walionufaika na mkopo huo ambao hauna riba.

“Leo tunatoa zaidi ya bilioni 2.5 kwa vikundi 115 vya wajasiriamali kutoka Manispaa ya Kinondoni ikiwa na lengo la kuwakwamua wananchi wetu wa Manispaa hii kiuchumi na kuboresha maisha yao, hivyo tunaomba kila kikundi kurejesha mikopo hii ili na wengine waweze kunufaika na fedha hizi,” amesema Bi. Stella.

Pia Bi. Stella amewataka viongozi wote kutoka Divisheni ya Maendeleo ya Jamii, Manispaa ya Kinondoni kufatilia kwa karibu vikundi hivyo vifanye miradi kama ulivyokusudiwa ili waweze kurejesha mikopo hiyo na wengine waweze kunufaika na fedha hizo ambazo hazina riba.

Lakini pia Bi. Stella amesema kumekuwa na tabia ya vikundi mbalimbali vya wajasiriamali kuchukua fedha za mikopo na kwenda kufanyia mambo mengine ambayo yanawafanya kushindwa kurejesha fedha hizo ili na wengine wanufaike.

“Serikali inapotoa fedha za mikopo sio kwamba ina fedha nyingi hivyo tunawaomba muende kufanya biashara kwa mujibu wa sheria na kanuni zinavyowataka za mkopo huu na sio kwenda kufanya mambo mengine kama kwenda kutunzana kwenye maharusi na mwisho wa siku mnashindwa kurejesha mkopo,” amesema Bi. Stella.

Kwa upande wake Mkuu wa Divisheni ya Maendelo ya Jamii Manispaa ya Kinondoni Bw. Alex Ntiboneka amesema ndani ya mwaka huu walipokea maombi ya vikundi zaidi ya 260 lakini baada ya kufanya tathmini kwa kina wameweza kupata vikundi 115 ambavyo vimeweza kukopesheka.

Mkuu huyo amesema katika vikundi vyote hivyo 115 kuna vikundi wanajishughulisha na ufugaji wa kuku, ng’ombe, usafirisha pamoja na usafi wa mazingira ndani ya Jiji letu la Dar es Salaam.

Lakini pia Bw. Ntiboneka amewaomba wajasiriamali hao waliopewa fedha hizo waende wakafanye biashara kama walivyoandika kwenye andiko la biashra zao wakati wanaomba mikopo hiyo.

Nae Mtahiki Meya Manispaa ya Kinondoni Mhe. Songoro Mnyonge ametoa rai kwa vikundi vyote 115 hasa akina mama waache tabia ya kuchukua fedha za mikopo na kwenda kushindana kutoa hela kwenye maharusi na sehemu zingine za sherehe.

“Fedha hizi tunatoa kwa lengo la kuwainua kiuchumi na kuwaboreshea maisha yenu Wanakinondoni hivyo mkiwahi kurejesha inarahisishia wengine waweze kunufaika na fedha hizi,” amesema Bw.Songoro.


Imeandaliwa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini: Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • KUFUTA TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI March 14, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA March 13, 2023
  • TANGAZO KWA WASIOLIPIA VIWANJA BOKO DOVYA (KWA SOMJI) NA SALASALA February 15, 2023
  • MABADILIKO YA SIKU YA MAFUNZO YA WASIMAMIZI WA MAUDHUI, WASIMAMIZI WA TEHAMA NA MAKARANI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 28, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • JAPAN YAIPATIA MSAADA MZIMUNI SEKONDARI

    March 15, 2023
  • VIKUNDI VYAASWA MATUMIZI SAHIHI YA MIKOPO

    February 18, 2023
  • "HAKUNA TIMU KUBWA ZAIDI YA KMC FC"

    February 18, 2023
  • ULINZI NI KIPAUMBELE KINODONI-DC SAAD

    February 12, 2023
  • Tazama zote

Picha Jongefu

VIKUNDI VILIVYOSEPA NA BILIONI 11 VYAKALIWA KOONI MANISPAA YA KINONDONI. REJESHENI...
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TARATIBU ZA KUPATA KIBALI CHA UJENZI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • VITUO VYA KUKUSANYIA MAPATO
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • RATIBA YA MSTAHIKI MEYA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255 22 2170173

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.