• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya Utumishi
      • Afya na Usafishaji
      • Mipangomiji na Maendeleo ya Makazi
      • Kilimo na Mifugo
      • Elimu Sekondari
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Tehama
    • Kata
      • Kinondoni
      • Magomeni
      • Makumbusho
      • Mwananyamala
      • Kijitonyama
      • Wazo
      • Bunju
      • Mbezi juu
      • Ndugumbi
      • Msasani
      • Kawe
      • Mzimuni
      • Mabwepande
      • Tandale
      • Kigogo
      • Mikocheni
      • Hananasif
      • Kunduchi
      • Makongo
      • Mbweni
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Elimu
    • Afya
    • Maji na Usafishaji
    • Ujasiriamali na utoaji wa mikopo
    • Ushauri katika Kilimo
    • Elimu ya ufugaji mifugo na nyuki
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
  • Madiwani
    • Baraza la madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Vipeperushi
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

WAVAMIZI ENEO LA KIWANDA CHA KUCHAKATA TAKA MABWEPANDE WATAKIWA KUONDOKA MARA MOJA

Posted on: December 14th, 2020

Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar Es salaam Mhe.Abubakar Kunenge leo alipofanya ziara ya ukaguzi wa kiwanda cha kuchakata taka kilichopo Kata ya Mabwepande Manispaa ya Kinondoni.

Amesema eneo hilo enye ekari 14,  lilitengwa kwa ajili ya shughuli za uchakataji wa taka ikiwa ni hatua za Serikali za kuhakikisha inatatua kero za uchafu zinazowakabili wananchi katika maeneo yao, lakini pia ni moja ya kitega uchumi kwa kuzalisha mbolea isiyo na kemikali itakayoweza kuuzwa kwa wanachi na wadau mabilimbali na si kwa ajili ya makazi.

 Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Mhe. Abubakar Kunenge na kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe. Daniel Chongolo wakikagua mradi.

"Ninaagiza wale  wote waliovamia eneo hilo kuondoka mara moja ili kuepukana na adha ya kubomolewa na kuharibiwa mali zao na  ninyi Manispaa wekeni mipaka katika eneo hili ili ijulikane mwanzo na mwisho wake.  Nilazima wana Dar es salaam mjifunze kufuata Sheria, kuitii Sheria na si vinginevyo." Ameagiza RC Kunenge.

Katikati ni Meya wa Manispaa ya Kinondoni Mhe. Songoro Mnyonge

Naye Mstahiki Meya wa Manispaa hiyo Mhe.Songoro Mnyonge alipokuwa akitoa ufafanuzi amesema  kiwanda hiki kinachojengwa kwa ufadhili  kutoka jiji la Humburg Nchini Ujeruman, kinauwezo wa kuchukua tani 50 za taka kwa siku na kuzichakata hadi kufika tani 30 kwa siku moja kwa kutumia mitambo ya kisasa itakayofungwa katika eneo hilo.


Amesema mitambo ya kuchakata taka tayari imefika bandarini ikisubiri ukamilishwaji wa taratibu za kiserikali ili iweze kufungwa tayari kwa kuanza kazi.

Akitoa ufafanuzi wa kiwanda hicho, Afisa Usafishaji wa Manispaa hiyo  Ndg Alban Mugyabuso amesema mfumo mzima wa uchakataji taka hadi kukamilika kwake unatumia siku 14, na kwamba tayari masoko yameshaanza kutafutwa kwajili ya ununuzi wa mbolea isiyo na kemikali itakayopatikana baada ya uchakataji.


Aidha ameeleza kuwa takataka zinazochukuliwa kwa ajili ya uchakataji ni zile zinazotoka masokoni zenye kuoza kwa haraka na siyo chupa za maji wala mifuko ya plastiki.

Katika hatua nyingine Mkuu huyo wa Mkoa amewataka TRA na Bandari kushughulikia kwa haraka mitambo hiyo iliyoko bandarini  iweze kutoka ili ifungwe na kiwanda kiweze kufanya kazi.

Imeandaliwa na

Kitengo Cha Uhusiano na Habari.

Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • TANGAZO KUHUSU VIBANDA VYA MWENGE February 22, 2021
  • TAARIFA KUHUSIANA NA WASTAAFU WANAOLIPWA NA HAZINA February 18, 2021
  • TANGAZO KUHUSU WAMILIKI WA KUMBI ZA BURUDANI, SHEREHE NA BAA January 22, 2021
  • HAWA HAPA WADAIWA SUGU WA LESENI ZA BIASHARA MANISPAA YA KINONDONI December 04, 2020
  • Tazama zote

Habari mpya

  • WATENDAJI WA KATA NA MITAA KINONDONI TIMIZENI WAJIBU WENU

    April 08, 2021
  • ZIARA YA KATA KWA KATA WILAYA YA KINONDONI YAANZA LEO

    April 01, 2021
  • MSTAHIKI MEYA MANISPAA YA KINONDONI MHE. SONGORO MNYONGE AKIFAFANUA JAMBO WAKATI WA BARAZA LA MADIWANI

    March 17, 2021
  • UWASILISHWAJI WA TAARIFA ZA KAMATI ZA KUDUMU-BARAZA LA MADIWANI.

    March 17, 2021
  • Tazama zote

Picha Jongefu

DCChongolo akemea vikali wakandarasi wazembe
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ilala Municipal website
  • Ubungo Municipal Council
  • Kigamboni Municipal
  • Temeke Municipal

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • eGoverment Agency
  • Manispaa ya Kinondoni yaongoza katika Makusanyo kufikia Dec.12,2017, 2017.
  • TUME YA UTUMISHI.Tangazo la nafasi za Kazi.

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Dar es salaam, Tanzania

    Postal Address: P.O.BOX 31902 ,2Morogoro Road

    Namba za simu: +255 22 2170173

    Namba ya simu :

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Service

Hatimiliki