• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya Utumishi
      • Afya na Usafishaji
      • Mipangomiji na Maendeleo ya Makazi
      • Kilimo na Mifugo
      • Elimu Sekondari
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Tehama
    • Kata
      • Kinondoni
      • Magomeni
      • Makumbusho
      • Mwananyamala
      • Kijitonyama
      • Wazo
      • Bunju
      • Mbezi juu
      • Ndugumbi
      • Msasani
      • Kawe
      • Mzimuni
      • Mabwepande
      • Tandale
      • Kigogo
      • Mikocheni
      • Hananasif
      • Kunduchi
      • Makongo
      • Mbweni
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Elimu
    • Afya
    • Maji na Usafishaji
    • Ujasiriamali na utoaji wa mikopo
    • Ushauri katika Kilimo
    • Elimu ya ufugaji mifugo na nyuki
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
  • Madiwani
    • Baraza la madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Vipeperushi
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

WAKANDARASI KOTE NCHINI WAMETAKIWA KZINGATIA UBORA WA VIWANGO ,ILI KUFIKIA MALENGO YALIYOKUSUDIWA.

Posted on: January 23rd, 2018

 Wakandarasi wa barabara kote nchini wametakiwa kuhakikisha wanasimamia misingi ya kazi zao kwa kuhakikisha wanajenga barabara kwa kuzingatia ubora na viwango vinavyokidhi matakwa na malengo yaliyokusudiwa.

 Kauli hiyo imetolewa leo na Waziri wa nchi ofisi ya Rais TAMISEMI Mh. Suleiman Jafo alipokuwa katika ziara yake ya kutembelea ujenzi wa barabara zilizopo chini ya mradi wa DMDP unaotekelezwa Manispaa ya Kinondoni. 

 Amesema ujenzi wa barabara hizi umetumia gharama kubwa, hivyo wahandisi wahakikishe wanasimamia viwango katika ubora uliokusudiwa bila kufanya mjadala wa aina yeyote unaonesha kwenda kinyume au tofauti na makubaliano hayo.

 "Mimi sitarajii katika barabara hizi baada ya mwaka mmoja, miaka miwili tunaanza kuziba viraka, barabara hizi tunatumia gharama kubwa Sana na hata ile mixture yake ni ya tofauti, kwa hiyo niwatake wakandarasi na hasa nyie ma injinia wetu hakikisheni ubora mnausimamia, hakuna ku-compromise katika swala zima la ubora wa barabara hizi "Amesisitiza Jafo. 

 Ameongeza kuwa lengo la mradi huu wa DMDP ni kuhakikisha linatatua changamoto kubwa za barabara walizokuwa wakizipata wananchi hasa zile zilizokuwa zikikumbwa na mafuriko kwa kukosekana kwa mitaro yenye ubora na inayokidhi viwango.

 Kwa upande wake mratibu wa Mradi wa DMDP kinondoni Ndg Mkelewe Tungaraza ambaye pia ni Muhandisi wa barabara ameahidi kusimamia ujenzi huo kwa kuhakikisha viwango vya ubora uliokusudiwa vinafikiwa na kwa wakati.

 Katika hatua nyingine Mh Jafo ameonesha kuridhishwa na hatua za ujenzi wa jengo uliofikiwa pamoja na ubora ulio nao jengo hilo linalotarajiwa kutumika kama ofisi na kuwataka wakandarasi hao kuhakikisha wanamaliza ujenzi huo kwa wakati na kuhakikisha linatumika kwa matumizi yaliyokubalika na si vinginevyo. 

 Waziri Jafo ametembelea barabara za DMDP za viwandani, M. M. K pamoja na kukagua hatua za utekelezaji wa jengo la mradi linalotarajiwa kutumika kama ofisi. 

 Imetolewa na
 Kitengo cha Habari na Uhusiano.
 Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • TANGAZO KUHUSU VIBANDA VYA MWENGE February 22, 2021
  • TAARIFA KUHUSIANA NA WASTAAFU WANAOLIPWA NA HAZINA February 18, 2021
  • TANGAZO KUHUSU WAMILIKI WA KUMBI ZA BURUDANI, SHEREHE NA BAA January 22, 2021
  • HAWA HAPA WADAIWA SUGU WA LESENI ZA BIASHARA MANISPAA YA KINONDONI December 04, 2020
  • Tazama zote

Habari mpya

  • WATENDAJI WA KATA NA MITAA KINONDONI TIMIZENI WAJIBU WENU

    April 08, 2021
  • ZIARA YA KATA KWA KATA WILAYA YA KINONDONI YAANZA LEO

    April 01, 2021
  • MSTAHIKI MEYA MANISPAA YA KINONDONI MHE. SONGORO MNYONGE AKIFAFANUA JAMBO WAKATI WA BARAZA LA MADIWANI

    March 17, 2021
  • UWASILISHWAJI WA TAARIFA ZA KAMATI ZA KUDUMU-BARAZA LA MADIWANI.

    March 17, 2021
  • Tazama zote

Picha Jongefu

DCChongolo akemea vikali wakandarasi wazembe
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ilala Municipal website
  • Ubungo Municipal Council
  • Kigamboni Municipal
  • Temeke Municipal

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • eGoverment Agency
  • Manispaa ya Kinondoni yaongoza katika Makusanyo kufikia Dec.12,2017, 2017.
  • TUME YA UTUMISHI.Tangazo la nafasi za Kazi.

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Dar es salaam, Tanzania

    Postal Address: P.O.BOX 31902 ,2Morogoro Road

    Namba za simu: +255 22 2170173

    Namba ya simu :

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Service

Hatimiliki