• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya Utumishi
      • Afya na Usafishaji
      • Mipangomiji na Maendeleo ya Makazi
      • Kilimo na Mifugo
      • Elimu Sekondari
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Tehama
    • Kata
      • Kinondoni
      • Magomeni
      • Makumbusho
      • Mwananyamala
      • Kijitonyama
      • Wazo
      • Bunju
      • Mbezi juu
      • Ndugumbi
      • Msasani
      • Kawe
      • Mzimuni
      • Mabwepande
      • Tandale
      • Kigogo
      • Mikocheni
      • Hananasif
      • Kunduchi
      • Makongo
      • Mbweni
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Elimu
    • Afya
    • Maji na Usafishaji
    • Ujasiriamali na utoaji wa mikopo
    • Ushauri katika Kilimo
    • Elimu ya ufugaji mifugo na nyuki
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
  • Madiwani
    • Baraza la madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Vipeperushi
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

VITUO 292 KUTOA CHANJO YA SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI AWAMU YA KWANZA KWA WASICHANA 5562 KINONDONI

Posted on: April 30th, 2018

Jumla ya vituo 292 vyatarajiwa kutoa huduma ya chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi (HPV vaccine) awamu ya kwanza kwa wasichana 5,562  wenye umri wa miaka 14, katika Manispaa ya Kinondoni.

Hayo yamethibitishwa leo na Mstahiki Meya wa Manispaa hiyo Mh Benjamin Sitta, alipokuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa chanjo ya mlango wa kizazi uliofanyika katika kituo cha Afya Magomeni na kuhudhuriwa na viongozi wa vyama na Serikali.

Amesema kwa idadi hii ya wasichana kupata chanjo ni mwanzo mzuri na pia kutasaidia kupunguza kiasi kikubwa cha ongezeko la maambukizi ya ugonjwa huu.


"Kwa namna ya pekee, nimpongeze Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na uongozi wake mzima, kwa kukaa na kuumiza kichwa, na kuja na jambo jema kama hili, la kuwanusuru watoto wetu wa kike kwa chanjo hii ya saratani ya mlango wa kizazi, Mungu awabariki sana "Amesisitiza Meya.

Akitoa ufafanuzi wa chanjo hiyo kwa mgeni rasmi katika taarifa iliyosomwa kwake na Sr. Edith Mboga ambaye ni mratibu wa afya ya Mama na mtoto Kinondoni amesema, idadi hiyo inajumuisha wasichana 4,581 waliopo mashuleni na 892, waliopo katika jamii.

Ameongeza kuwa uzinduzi huu utawezesha huduma kuanza kutolewa kwa kushirikiana na wadau wote,  wakiwemo wazazi, walezi, viongozi wa Serikali za mitaa, Kata Wilaya pamoja na viongozi wa dini.

Akitoa mchango wake Mganga Mkuu wa Manispaa hiyo Dr. Festo Dugange amesema virusi hivi vya HPV huambukizwa kwa njia ya kujamiiana na ndio maana chanjo hii itahusisha wasichana wa umri wa miaka 14, kwani wanasadikiwa kutokuanza kwa mambo ya kujamiana.

Aidha amewaasa wanawake kuwa na utaratibu wa kupima afya zao kwani kwa kufanya hivyo kutaepusha madhara makubwa kutokea, hasa ikizingatia ugonjwa huu wa saratani ya shingo ya kizazi dalili zake huchelewa kujulikana.

Kinondoni imejipanga kushirikiana na wadau mbalimbali wa sekta ya Afya, wakiwemo waalimu wa shule za msingi na Sekondari, ikiwa ni mkakati wa pamoja kuhakikisha uelewa unatolewa kwa wazazi, na walezi ili kuhimiza wasichana wao kupata chanjo hii.


Imeandaliwa na

Kitengo cha Uhusiano na Habari.

Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • TANGAZO KUHUSU VIBANDA VYA MWENGE February 22, 2021
  • TAARIFA KUHUSIANA NA WASTAAFU WANAOLIPWA NA HAZINA February 18, 2021
  • TANGAZO KUHUSU WAMILIKI WA KUMBI ZA BURUDANI, SHEREHE NA BAA January 22, 2021
  • HAWA HAPA WADAIWA SUGU WA LESENI ZA BIASHARA MANISPAA YA KINONDONI December 04, 2020
  • Tazama zote

Habari mpya

  • WATENDAJI WA KATA NA MITAA KINONDONI TIMIZENI WAJIBU WENU

    April 08, 2021
  • ZIARA YA KATA KWA KATA WILAYA YA KINONDONI YAANZA LEO

    April 01, 2021
  • MSTAHIKI MEYA MANISPAA YA KINONDONI MHE. SONGORO MNYONGE AKIFAFANUA JAMBO WAKATI WA BARAZA LA MADIWANI

    March 17, 2021
  • UWASILISHWAJI WA TAARIFA ZA KAMATI ZA KUDUMU-BARAZA LA MADIWANI.

    March 17, 2021
  • Tazama zote

Picha Jongefu

DCChongolo akemea vikali wakandarasi wazembe
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ilala Municipal website
  • Ubungo Municipal Council
  • Kigamboni Municipal
  • Temeke Municipal

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • eGoverment Agency
  • Manispaa ya Kinondoni yaongoza katika Makusanyo kufikia Dec.12,2017, 2017.
  • TUME YA UTUMISHI.Tangazo la nafasi za Kazi.

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Dar es salaam, Tanzania

    Postal Address: P.O.BOX 31902 ,2Morogoro Road

    Namba za simu: +255 22 2170173

    Namba ya simu :

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Service

Hatimiliki