• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya Utumishi
      • Afya na Usafishaji
      • Mipangomiji na Maendeleo ya Makazi
      • Kilimo na Mifugo
      • Elimu Sekondari
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Tehama
    • Kata
      • Kinondoni
      • Magomeni
      • Makumbusho
      • Mwananyamala
      • Kijitonyama
      • Wazo
      • Bunju
      • Mbezi juu
      • Ndugumbi
      • Msasani
      • Kawe
      • Mzimuni
      • Mabwepande
      • Tandale
      • Kigogo
      • Mikocheni
      • Hananasif
      • Kunduchi
      • Makongo
      • Mbweni
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Elimu
    • Afya
    • Maji na Usafishaji
    • Ujasiriamali na utoaji wa mikopo
    • Ushauri katika Kilimo
    • Elimu ya ufugaji mifugo na nyuki
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
  • Madiwani
    • Baraza la madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Vipeperushi
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

KINONDONI YATOA TUZO KWA WAALIMU NA SHULE ZILIZOFANYA VIZURI UFAULU WA MATOKEO YA DARASA LA SABA KWA MWAKA 2017

Posted on: November 16th, 2017

 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni leo imetoa tuzo, vyeti pamoja na fedha taslimu kwa wakuu wa shule, waalimu wa masomo pamoja na Kata zilizofanya vizuri katika ufaulu wa matokeo ya mtihani wa darasa la saba kwa mwaka 2017.

 Tuzo hizo zimetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mh Alli Hapi alipokuwa mgeni rasmi katika tafrija za kuwapongeza waalimu hao zilizofanyika katika viwanja vya shule ya Msingi mbuyuni. 

 Amesema tuzo hizi ni kutokana na matokeo mazuri ya ufaulu kwa mwaka huu ambapo yameiweka Kinondoni katika kilele cha Taifa na hii ni kuonyesha ushirikiano, juhudi, maarifa na weledi wa waalimu wetu pamoja na viongozi wetu. 

 "Matokeo ya mwaka huu yametuweka katika kilele chá Taifa, rekodi hii iliyotokea mwaka huu, ama haijawahi kutokea kabisa , tumevunja rekodi katika historia ya Wilaya na Manispaa ya Kinondoni, Jambo hili sio Jambo la kubeza kwa sababu linatasfiri juhudi, ushirikiano na kazi kubwa ambayo viongozi wetu wameifanya. "Amesema Hapi 

 Naye Mstahiki Meya wa Manispaa hiyo Mh Benjamin sitta amesema lengo ni kutaka watanzania waelewe umuhimu na faida ya Elimu bure iliyosaidia kupunguza utoro, hali iliyopelekea wanafunzi wote kuhudhuria vipindi na kufanya mitihani kwa umakini. 

 Ameongeza kuwa lengo pia ni kuwapa moyo na kuthamini kazi nzuri na mchango wao mkubwa walioufanya katika kuhakikisha Kinondoni inaibuka kidedea katika ufaulu wa matokeo ya mtihani wa darasa la saba kwa mwaka 2017.

 Naye Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Ndg Aron Kagurumjuli ameainisha makundi yaliyopata tuzo hizo pamoja na zawadi kuwa ni walimu wakuu wa shule 78, zenye ufaulu zaidi,  shule 10 zenye mabadiliko makubwa zaidi katika ufaulu, waalimu waliofundisha kikamilifu na kwa weledi na kutoa  "A" nyingi kwenye masomo yao pamoja na kata zilizofanya vizuri. 

 Ameongeza kuwa Kinondoni imedhamiria na imejipanga kuelekea 2018, inashikilia rekodi hii kwa kufanya kazi kwa umakini na weledi  mkubwa kwani ndiyo nguzo na silaha ya mafanikio. 

 Katika hatua nyingine Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mh Alli Hapi amewataka waalimu kuhakikisha wanaendeleza juhudi hizo ili kufikia malengo mazuri na makubwa katika sekta ya elimu kwani ndio ufunguo wa maisha. 

 Tafrija hii imehudhuriwa na wadau mbalimbali wakiwemo Baraza la madiwani, wenyeviti wa Serikali za Mitaa, wawakilishi kutoka Bank ya NMB pamoja na wakuu wa idara na vitengo wa Manispaa ya Kinondoni. 

 Imetolewa na
 Kitengo cha Uhusiano na Habari
 Manispaa ya Kinondoni

Matangazo

  • TANGAZO KUHUSU VIBANDA VYA MWENGE February 22, 2021
  • TAARIFA KUHUSIANA NA WASTAAFU WANAOLIPWA NA HAZINA February 18, 2021
  • TANGAZO KUHUSU WAMILIKI WA KUMBI ZA BURUDANI, SHEREHE NA BAA January 22, 2021
  • HAWA HAPA WADAIWA SUGU WA LESENI ZA BIASHARA MANISPAA YA KINONDONI December 04, 2020
  • Tazama zote

Habari mpya

  • WATENDAJI WA KATA NA MITAA KINONDONI TIMIZENI WAJIBU WENU

    April 08, 2021
  • ZIARA YA KATA KWA KATA WILAYA YA KINONDONI YAANZA LEO

    April 01, 2021
  • MSTAHIKI MEYA MANISPAA YA KINONDONI MHE. SONGORO MNYONGE AKIFAFANUA JAMBO WAKATI WA BARAZA LA MADIWANI

    March 17, 2021
  • UWASILISHWAJI WA TAARIFA ZA KAMATI ZA KUDUMU-BARAZA LA MADIWANI.

    March 17, 2021
  • Tazama zote

Picha Jongefu

DCChongolo akemea vikali wakandarasi wazembe
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ilala Municipal website
  • Ubungo Municipal Council
  • Kigamboni Municipal
  • Temeke Municipal

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • eGoverment Agency
  • Manispaa ya Kinondoni yaongoza katika Makusanyo kufikia Dec.12,2017, 2017.
  • TUME YA UTUMISHI.Tangazo la nafasi za Kazi.

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Dar es salaam, Tanzania

    Postal Address: P.O.BOX 31902 ,2Morogoro Road

    Namba za simu: +255 22 2170173

    Namba ya simu :

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Service

Hatimiliki