• Malalamiko |
    • Anuani zetu |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Municipal Profile
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources
      • AFYA NA USAFISHAJI
      • Urban planning and Land Development
      • KILIMO NA MIFUGO
      • Secondary Education
      • Pre and Primary Education
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Community Development
    • Vitengo
      • sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
    • Kata
      • Kinondoni
      • Magomeni
      • Makumbusho
      • Mwananyamala
      • Kijitonyama
      • Wazo
      • Bunju
      • Mbezi juu
      • Ndugumbi
      • Msasani
      • Kawe
      • Mzimuni
      • Mabwepande
      • Tandale
      • Kigogo
      • Mikocheni
      • Hananasif
      • Kunduchi
      • Makongo
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Education
    • Afya
    • Maji naUsafishaji
    • entrepreneur and Soft Loan
    • Agricultural Consultancy
    • livestock keeping advice
    • Tax collection Centers
  • Madiwani
    • Baraza la madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyomalizika
  • Machapisho
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
    • Vipeperushi
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha jongefu

KINONDONI YAKABIDHIWA MAKTABA YA KISASA YENYE THAMANI YA ZAIDI YA MILIONI THEMANINI KUTOKA KWA KOREA YA KUSINI.

Posted on: October 16th, 2017

 Manispaa ya Kinondoni imekabidhiwa Maktaba ya kisasa yenye thamani ya zaidi ya milioni themanini kutoka Korea ya Kusini kwa lengo la kuimarisha mfumo wa Elimu kwa shule za msingi utakaowajengea wanafunzi Utamaduni wa kusoma. 

 Maktaba hiyo  imepokelewa leo na Mstahiki Meya Manispaa Kinondoni Mh Benjamin Sitta katika tafrija iliyofanyika kwenye viwanja vya shule Msingi Bongoyo .

Akipokea maktaba hiyo Meya Sitta amesema anafurahishwa zaidi kuona tunapiga hatua katika mfumo mzima wa elimu kwa kuwa na maktaba ya kisasa inayotumia mifumo ya  kiteknolojia kitu ambacho  kitamjengea mtoto utamaduni wa kupenda kusoma. 

 "Nimefurahi Sana kwasababu library hii ni ya kisasa unaweza kuona mandhari yake ni nzuri, wameenda kiteknolojia zaidi "amesisitiza Meya. 

 Aidha amemshukuru Balozi wa Korea ya kusini kwa kuona umuhimu wa kuwekeza katika Elimu kitu ambacho kitamkuza mtoto na kumfanya kuwa na Utamaduni wa kusoma. 

 Naye Balozi wa Korea ya Kusini nchini Tanzania Ndg Keum Young Song amesema Serikali yake  itaendelea kusaidia miradi ya ujenzi wa maktaba ndogo kwa shule za Msingi ili iweze kusaidia wanafunzi kusoma vitabu vya kiada na ziada kwa lengo la kupata misingi mizuri katika elimu. 

 Akifafanua umuhimu wa maktaba kwa wanafunzi Afisa Elimu Msingi Manispaa ya Kinondoni Ngd Kiduma Mageni amesema Maktaba ndio eneo pekee ambalo mwanafunzi anaweza kuwa na utulivu katika kusoma na kutafakari kwa kina bila kusumbuliwa na mtu yeyote. 

 Amesema Kinondoni inao mpango madhubuti wa kuziboresha shule zake kwa maana ya nyenzo za kufundishia pamoja na Mazingira rafiki ya kusomea yatakayomwezesha mwanafunzi kujenga utamaduni wa kujisomea na hasa ikizingatiwa maktaba hii ni ya kisasa kabisa yenye vifaa vyote vinavyohitajika kwa mwanfunzi kusoma bila malipo ya aina yeyote. 

 "Sisi Kinondoni tunataka tuoneshe mfano kwa vitendo, kwa kuunga mkono juhudi za Mh Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania za kutoa elimu bila malipo, tunashule kumi na tano, hii ni mojawapo, ambazo tunataka ziwe za kwanza kwa kipindi cha mwaka 2015 hadi 2020, ziwe shule zaidi ya shule zisizokuwa za Kiserikali "Ameongeza Mageni

 Akizitaja changamoto za shuleni hapo, Mwalimu Mkuu wa shule ya Bongoyo Bi Alice Martine amesema shule hiyo inakabiliwa na uhaba wa nyumba za waalimu, miundombinu ya maji kwenye vyoo, miundo mbinu ya umeme, na Samani za ofisi. 

 Korea Kusini imetimiza miaka ishirini na tano ya urafiki kati yake na Nchi ya Tanzania na hadi kufikia leo kwa mujibu wa taarifa iliyosomwa kwetu na Balozi Keum Young Song imesema mpaka sasa imeshajenga jumla ya maktaba ndogo kumi na moja kwenye shule za msingi hapa Tanzania.

 Imetolewa na
 Kitengo cha Uhusiano.
 Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI TAREHE 14/08/2019. August 13, 2019
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI SIKU YA JUMATANO TAREHE 22/05/2019. May 20, 2019
  • TAARIFA KWA UMMA October 16, 2019
  • TANGAZO October 16, 2019
  • Tazama zote

Habari mpya

  • KINONDONI YAZINDUA MAONESHO YA BIDHAA ZA NGOZI VIWANJA VYA TANGANYIKA PACKERS, YAWEKA MKAKATI WA SOKO LA UHAKIKA

    December 12, 2019
  • KINONDONI YAANDAA MAONESHO YA BIDHAA ZA NGOZI YATAKAYOFANYIKA VIWANJA VYA TANGANYIKA PACKERS

    December 10, 2019
  • KINONDONI YAAPISHA WENYEVITI WA SERIKALI ZA MITAA NA WAJUMBE WAKE

    December 02, 2019
  • BARAZA LA MADIWANI KINONDONI LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UFAULU MZURI WA DARASA LA SABA 2019

    November 28, 2019
  • Tazama zote

Picha Jongefu

TAMISEMI YAIPOGEZA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ilala Municipal website
  • Ubungo Municipal Council
  • Kigamboni Municipal
  • Temeke Municipal

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • eGoverment Agency
  • Manispaa ya Kinondoni yaongoza katika Makusanyo kufikia Dec.12,2017, 2017.
  • TUME YA UTUMISHI.Tangazo la nafasi za Kazi.

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Anuani zetu

    Dar es salaam, Tanzania

    Postal Address: P.O.BOX 31902 ,2Morogoro Road

    Namba za simu: +255 22 2170173

    Namba ya simu :

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Service

Hatimiliki