• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya Utumishi
      • Afya na Usafishaji
      • Mipangomiji na Maendeleo ya Makazi
      • Kilimo na Mifugo
      • Elimu Sekondari
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Tehama
    • Kata
      • Kinondoni
      • Magomeni
      • Makumbusho
      • Mwananyamala
      • Kijitonyama
      • Wazo
      • Bunju
      • Mbezi juu
      • Ndugumbi
      • Msasani
      • Kawe
      • Mzimuni
      • Mabwepande
      • Tandale
      • Kigogo
      • Mikocheni
      • Hananasif
      • Kunduchi
      • Makongo
      • Mbweni
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Elimu
    • Afya
    • Maji na Usafishaji
    • Ujasiriamali na utoaji wa mikopo
    • Ushauri katika Kilimo
    • Elimu ya ufugaji mifugo na nyuki
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
  • Madiwani
    • Baraza la madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Vipeperushi
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

DC KINONDONI ATOA MASAA 72 KWA WANANCHI WA KIGOGO KURUDISHIWA FEDHA WALIZOCHANGISHWA.

Posted on: January 6th, 2018

 NI KWA WALE WANANCHI WANAOKAA KARIBU NA BONDE KWA MADAI YA KUSAIDIWA MWANASHERIA WA KUWATETEA KUTOBOMOLEWA NYUMBA ZAO. 

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mh Alli Hapi ametoa masaa 72 kwa wananchi wa kigogo kurudishiwa fedha walizokuwa wakichangishwa kwa madai ya kusaidiwa kutobomolewa nyumba zao.

 Ameitoa kauli hiyo leo alipokuwa akiongea na wananchi wa Kigogo katika mkutano wa hadhara uliofanyika eneo la lililokuwa dampo ya zamani. 

 Amesema ukusanyaji huo wa fedha hizo ni wizi na unawaletea wananchi hofu kitu ambacho sio mpango wa Serikali ya awamu ya tano, na pia ni kutaka kuwanyonya wananchi wanaofanya kazi zoa. 

 "Taarifa hizi ninazo muda mwingi, nilikuwa natafuta timing nzuri ya kulizungumnza, nawapa masaa sabini na mawili kutoka sasa, fedha zote walizokusanya kwa kinamama, kwa wazee, nyumba kwa nyumba ya kuwadanganya watu kwamba watawatafutia mtu wa kuwatetea wasibomolewe wakati mtu huyo wa kuwatetea ni sisi Serikali ,watu hawa nawapa masaa sabini na mbili warudishe fedha zote, huo ni wizi kama wizi mwingine wa wananchi " Ameagiza Hapi. 

 Aidha amemtaka OCD wa Wilaya ya Magomeni kuhakikisha anapata taarifa ya maandishi kutoka kwa Kaimu Mtendaji wa kata ya Kigogo Bi.Sarah Mwinuka ya kuwa nani amerudisha fedha au hajarudisha fedha. 

 "Baada ya masaa hayo, OCD nataka watu wote wakamatwe, hata kama kunamwenyekiti wa Serikali ya Mtaa, na wakisharudisha hizo fedha, waniandikie barua ya kuomba radhi kwa kosa walilolifanya. "Amesisitiza Hapi. 

 Amewataka wananchi kutokuwa wepesi kudanganywa na matapeli, kwani fedha yeyote inayokusanywa lazima iwe na tarifa na lazima ifuate taratibu zote za kifedha za Nchi ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. 

 Imetolewa na
 Kitengo cha Uhusiano na Habari
 Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • TANGAZO KUHUSU VIBANDA VYA MWENGE February 22, 2021
  • TAARIFA KUHUSIANA NA WASTAAFU WANAOLIPWA NA HAZINA February 18, 2021
  • TANGAZO KUHUSU WAMILIKI WA KUMBI ZA BURUDANI, SHEREHE NA BAA January 22, 2021
  • HAWA HAPA WADAIWA SUGU WA LESENI ZA BIASHARA MANISPAA YA KINONDONI December 04, 2020
  • Tazama zote

Habari mpya

  • WATENDAJI WA KATA NA MITAA KINONDONI TIMIZENI WAJIBU WENU

    April 08, 2021
  • ZIARA YA KATA KWA KATA WILAYA YA KINONDONI YAANZA LEO

    April 01, 2021
  • MSTAHIKI MEYA MANISPAA YA KINONDONI MHE. SONGORO MNYONGE AKIFAFANUA JAMBO WAKATI WA BARAZA LA MADIWANI

    March 17, 2021
  • UWASILISHWAJI WA TAARIFA ZA KAMATI ZA KUDUMU-BARAZA LA MADIWANI.

    March 17, 2021
  • Tazama zote

Picha Jongefu

DCChongolo akemea vikali wakandarasi wazembe
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ilala Municipal website
  • Ubungo Municipal Council
  • Kigamboni Municipal
  • Temeke Municipal

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • eGoverment Agency
  • Manispaa ya Kinondoni yaongoza katika Makusanyo kufikia Dec.12,2017, 2017.
  • TUME YA UTUMISHI.Tangazo la nafasi za Kazi.

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Dar es salaam, Tanzania

    Postal Address: P.O.BOX 31902 ,2Morogoro Road

    Namba za simu: +255 22 2170173

    Namba ya simu :

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Service

Hatimiliki