• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya Utumishi
      • Afya na Usafishaji
      • Mipangomiji na Maendeleo ya Makazi
      • Kilimo na Mifugo
      • Elimu Sekondari
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Tehama
    • Kata
      • Kinondoni
      • Magomeni
      • Makumbusho
      • Mwananyamala
      • Kijitonyama
      • Wazo
      • Bunju
      • Mbezi juu
      • Ndugumbi
      • Msasani
      • Kawe
      • Mzimuni
      • Mabwepande
      • Tandale
      • Kigogo
      • Mikocheni
      • Hananasif
      • Kunduchi
      • Makongo
      • Mbweni
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Elimu
    • Afya
    • Maji na Usafishaji
    • Ujasiriamali na utoaji wa mikopo
    • Ushauri katika Kilimo
    • Elimu ya ufugaji mifugo na nyuki
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
  • Madiwani
    • Baraza la madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Vipeperushi
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

BARAZA LA MADIWANI KINONDONI LAANZA KAZI RASMI

Posted on: December 7th, 2020

Baraza hilo chini ya Mstahiki Meya wake Mhe.Songoro Mnyonge limeanza kazi kwa kupitisha taarifa ya utekelezaji wa shughuli za Halmashauri katika kipindi cha kuanzia Julai hadi Octoba 2020.

Akitoa hoja ya kupitisha na kuungwa mkono kwa taarifa hiyo ya utekelezaji kwa Baraza la madiwani Meya Songoro amesema taarifa hiyo ni kielelezo tosha cha majukumu yanayompasa kila diwani kwenye kata yake kuhakikisha anayasimamia na  kuyatekeleza kwa maslahi mapana ya wananchi.

"Waheshimiwa madiwani niwahakikishie Jambo moja, kipindi kilichopita tulifanya kazi kubwa Sana, kwahiyo awamu hii pia tutaendelea pale ambapo tuliishia, kunamiradi mikubwa ambayo inaendelea hivi Sasa, tumeingia rasmi kufanya kazi" Mhe. Songoro Mnyonge.

Awali akiisoma taarifa hiyo ya utekelezaji kwa Baraza la Madiwani, Katibu wa Baraza hilo ambaye pia ni Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni Ndg Aron Kagurumjuli amesema taarifa hii ni ya utekelezaji wa shughuli za Halmashauri zilizofanywa kipindi ambacho baraza hilo halikuwepo.

Ameongeza kuwa mara baada ya kuvunjwa kwa Baraza la Madiwani Julai mwaka huu, Halmashauri iliendelea na utekelezaji wa mpango wa bajeti ya mwaka 2020/2021 na hivyo kufanikisha shughuli mbalimbali za maendeleo hususani katika miradi mikubwa na ya kimkakati.

“ Waheshimiwa madiwani, taarifa hii imeeleza namna ambavyo miradi imefanikiwa na vitu ambavyo vimefanyika katika kipindi ambacho hamkuwepo, kikubwa ni kwamba tumefanya mambo makubwa na hivyo  tunawaahidi kushirikiana kwa pamoja kuyaendeleza yale ambayo yamefanyika” amesema Kagurumjuli.

Katika hatua nyingine Baraza hilo lenye madiwani 30 limeteua wenyeviti na wajumbe wa  kamati za kudumu  ambazo ni kamati ya huduma za uchumi afya na elimu, kamati ya fedha na uongozi, kamati ya Mipangomiji na Mazingira, Kamati ya maadili na kamati ya UKIMWI.

 Imeandaliwa na

Kitengo cha Habari na Mahusiano

Manispaa ya Kinondoni

Matangazo

  • TANGAZO KUHUSU VIBANDA VYA MWENGE February 22, 2021
  • TAARIFA KUHUSIANA NA WASTAAFU WANAOLIPWA NA HAZINA February 18, 2021
  • TANGAZO KUHUSU WAMILIKI WA KUMBI ZA BURUDANI, SHEREHE NA BAA January 22, 2021
  • HAWA HAPA WADAIWA SUGU WA LESENI ZA BIASHARA MANISPAA YA KINONDONI December 04, 2020
  • Tazama zote

Habari mpya

  • WATENDAJI WA KATA NA MITAA KINONDONI TIMIZENI WAJIBU WENU

    April 08, 2021
  • ZIARA YA KATA KWA KATA WILAYA YA KINONDONI YAANZA LEO

    April 01, 2021
  • MSTAHIKI MEYA MANISPAA YA KINONDONI MHE. SONGORO MNYONGE AKIFAFANUA JAMBO WAKATI WA BARAZA LA MADIWANI

    March 17, 2021
  • UWASILISHWAJI WA TAARIFA ZA KAMATI ZA KUDUMU-BARAZA LA MADIWANI.

    March 17, 2021
  • Tazama zote

Picha Jongefu

DCChongolo akemea vikali wakandarasi wazembe
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ilala Municipal website
  • Ubungo Municipal Council
  • Kigamboni Municipal
  • Temeke Municipal

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • eGoverment Agency
  • Manispaa ya Kinondoni yaongoza katika Makusanyo kufikia Dec.12,2017, 2017.
  • TUME YA UTUMISHI.Tangazo la nafasi za Kazi.

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Dar es salaam, Tanzania

    Postal Address: P.O.BOX 31902 ,2Morogoro Road

    Namba za simu: +255 22 2170173

    Namba ya simu :

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Service

Hatimiliki